Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai bora. Wana wanashtukia mapemaMallerina kwa mujibu wa huu uzi wako si upo chuo wewe?
Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma? Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake.. Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku...www.jamiiforums.com
Anakuoaje mwezi wa sita wakati utakuwa unafanya UE!!
Wee njoo tigegedane alafu akijua mzabzab kagugegeda lazima akutemeHabari zenu
Kuna mkaka nlimkubalia kuolewa nae nlipokuwa desperate na tulipanga ndoa iwe June ata kama wazazi upande wangu hawataki....
Aliona kama bahati na kunitambulisha kwao faster..ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye) naona uamuzi wa kumkubali haukua sahihi kwangu
He's a 10guy but to me he is a no sitakuwa na amani kabisa.. muda simpi red flags kama zote ila Bado haoni ...
Tatizo siwezi kumwambia sitaki ndoa nae maana expectations zote kaweka Kwangu akiamini Mimi ni wake
Njia sahihi ya kukataa ndoa pamoja na kumkataa yeye ni ipi tofauti na kumwambia sitaki Wala simtaki?
Nipo team #kataa ndoa📌
Unaweza kufafanua zaidi ?.ila baada ya kuheal na desperation( bila kumtumia yeye)
I healed bila kumtumiaUnaweza kufafanua zaidi ?View attachment 3223809
najaribu kuelewa
do you mean you're into both genders?
Ulikuwa unaumwa nini na ulitumia njia gani kupona ?I healed bila kumtumia
Mi babaako nipe shikamoo.Utasubiri sana kaka niwe single maza
Uzi uishie hapa,Both cz I attract both genders