Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Nape Nnauye hebuu twambie hii makala haiwezi ikawa imemponza ndug Kibanda? Maana we ndio mtaalamu wa kufanya makisio! Au hii haukuisoma?
 
Last edited by a moderator:
So six is in it. We may use that insight to find the real snake.god forsake we know it. The protector of status quo they will erase na person obstacling and threat to theri well wearth.
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.
Huwezi kumtaja Lowasa bila kumgusa aliyempa uwazi mkuu,Lowassa alikuwa anatekeleza maagizo ya boss wangu kuipa mkataba Richmond.
 
Kibanda anafanya kazi ya Boss wake Mbowe, Mbowe na Slaa wamekwishanunuliwa na Rostam na Lowasa, mashambulizi wanayaelekeza kwa watu waliohusika kuwadamage Lowasa na kundi lake, Lowasa alipofanya mkutano na waandishi hakuna kiongozi yoyote wa CDM aliyecounter attack hoja zake isipokuwa CUF.

Kibanda ni muajiriwa wa Mbowe, anaandika kitabu cha ufisadi wa Sitta ili iweje? coz ni lazima kuwe na sababu ya yeye kufanya hivyo, then what? ameshindwa kuanza na cha Rostam na Lowasa?, la hasha ni vile ametumwa kufanya kazi ya Boss wake Mbowe. Simtetei Sitta, ni kweli anaweza kuwa na makosa yake ya kifisadi kama yapo, lakini je yanalingana na ya lowasa na rostam?

Watu wanapigana kwa bidii dhidi ya ufisadi lakini sasa viongozi wa CDM na washirika wao ndio wamekuwa ngao ya mafisadi wakuu, angalia siku hizi gazeti la mwanahalisi linalomilikiwa na mkurugenzi wa fedha na utawala wa CDM linavyomuandama Sitta, Lowasa siku hizi wala haguswi, na mkakati wenu ni kumwingiza lowasa ikulu, kama Mungu anaishi Lowasa hastahili kuwa rais hata siku moja, jizi hilo ndio linasababisha mchafue watu coz of money?

kweli mtanzania ana kazi kujikomboa.
Mtoto wako itabidi umumpe jina la Slaa, unamuwaza sana na kumuota usiku kucha.
Then hii ni shift ya nani kutumia hii ID?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Vipi hiki kitabu kilishatungwa? na je hii haina uhusiano na kilichompata mpiganaji huyu controversial?

Binadamu mwenye akili timamu huwezi kumwombea binadamu mwingine apate mateso, na hivyo tunamwombea ndugu yetu Kibanda Mwenyezi Mungu amrudishie afya yake - lakini kama ulivyogusia huyu ndugu kweli ni 'mpiganaji controversial', kama ni mpiganaji kweli. Nashawishika kusema kinyume na inavyoelezwa, huyu ni mchumia tumbo tu.
 
huyu naye kanunuliwa na nani? japo sita ni fisadi lakini sio katika extent ya kuandikiwa kitabu huku mafisadi papa wakipeta

Fine yeye Kibanda anayajua zaidi ya Sitta sasa kama na wewe unajua hao mafisadi papa na maovu yao andika nawe cha kwako ili tukiunganisha vitabu vyote tutapata picha kamili,..Lakini kumshambulia kuwa kanunuliwa nikumkosea haki!
 
Mtoto wako itabidi umumpe jina la Slaa, unamuwaza sana na kumuota usiku kucha.
Then hii ni shift ya nani kutumia hii ID?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mdokozi wa Mobitel!!
 
[FONT=Comic Sans
MS]kweli kwa huu upuuzi unaoendelea wa hii ni katiba ikataeni
blah..blah...na wengine huu ni mswada wa kuanzisha mswada wa mswada
wa....blah blah... ikifika December dola itakua sh.
3000/=[/FONT]

uliandika hii november 2011, kwa taarifa tu sasa dola ni 1500+
 
Back
Top Bottom