Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

Nape Nnauye hebuu twambie hii makala haiwezi ikawa imemponza ndug Kibanda? Maana we ndio mtaalamu wa kufanya makisio! Au hii haukuisoma?
 
Last edited by a moderator:
So six is in it. We may use that insight to find the real snake.god forsake we know it. The protector of status quo they will erase na person obstacling and threat to theri well wearth.
 
Huwezi kumtaja Lowasa bila kumgusa aliyempa uwazi mkuu,Lowassa alikuwa anatekeleza maagizo ya boss wangu kuipa mkataba Richmond.
 
Mtoto wako itabidi umumpe jina la Slaa, unamuwaza sana na kumuota usiku kucha.
Then hii ni shift ya nani kutumia hii ID?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Vipi hiki kitabu kilishatungwa? na je hii haina uhusiano na kilichompata mpiganaji huyu controversial?

Binadamu mwenye akili timamu huwezi kumwombea binadamu mwingine apate mateso, na hivyo tunamwombea ndugu yetu Kibanda Mwenyezi Mungu amrudishie afya yake - lakini kama ulivyogusia huyu ndugu kweli ni 'mpiganaji controversial', kama ni mpiganaji kweli. Nashawishika kusema kinyume na inavyoelezwa, huyu ni mchumia tumbo tu.
 
huyu naye kanunuliwa na nani? japo sita ni fisadi lakini sio katika extent ya kuandikiwa kitabu huku mafisadi papa wakipeta

Fine yeye Kibanda anayajua zaidi ya Sitta sasa kama na wewe unajua hao mafisadi papa na maovu yao andika nawe cha kwako ili tukiunganisha vitabu vyote tutapata picha kamili,..Lakini kumshambulia kuwa kanunuliwa nikumkosea haki!
 
Mtoto wako itabidi umumpe jina la Slaa, unamuwaza sana na kumuota usiku kucha.
Then hii ni shift ya nani kutumia hii ID?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mdokozi wa Mobitel!!
 
[FONT=Comic Sans
MS]kweli kwa huu upuuzi unaoendelea wa hii ni katiba ikataeni
blah..blah...na wengine huu ni mswada wa kuanzisha mswada wa mswada
wa....blah blah... ikifika December dola itakua sh.
3000/=[/FONT]

uliandika hii november 2011, kwa taarifa tu sasa dola ni 1500+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…