Absalom Kibanda: Mgombea Urais mmoja hakutaka nifike huu mwaka wa Uchaguzi

Absalom Kibanda: Mgombea Urais mmoja hakutaka nifike huu mwaka wa Uchaguzi

Kwa jinsi ulivyoweuka nasikia hata mkeo unamwita Lowasa. Shame
 
Mpuuzi sana huyu Kibanda, siku zote alikaa kimya ili iweje na mbona waliulizwa mara zote waliamu kuficha, ulikuwa ni uwoga ama kutuzuga watanzania?

umeonesha kiwango kikubwa cha upumbavu kumuita kibanda mpuuzi ,au kisa membe kaguswa!! poor you!!
 
umeonesha kiwango kikubwa cha upumbavu kumuita kibanda mpuuzi ,au kisa membe kaguswa!! poor you!!

Nadhani mchangiagi hajawa mpumbavu ila wewe ndo mpumbavu usiyefundishika kiasi cha kumtetea mtu ambaye kakaa kimya bila kwenda kwenye vyombo vya dola kuripoti wakati ana ushahidi wa tukio.nikuambie kwamba kumtetea kibanda unatakiwa uwe mwendawazimu.
 
Kwanza kibanda hapaswi kujiita mwenyekiti wa jukwaa la wahariri, anatakiwa kujiita kibaraka wa lowassa. Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri hawezi kusimama getini na kuchagua waandishi wa habari wa kwenda kuzungumza na lowasa. NI hivi, wakati waandishi na wahariri walipokuwa dodoma kuzungumza na lowasa, huyu bwana alisimama mlangoni na kuanza kuchambua wa kuingia na wa kutoingia kutokana na vyombo vya habari ambavyo wanavipenda. kwa maana hiyo, kujiita mwenyekiti wa jukwaa ni kudhalilisha taaluma ya habari.mwenyekiti gani asiyeweza kutetea waandishi wake na badala yake kuwa kiungo cha ubaguzi kwa sababu tu ya kulamba watu kisiasa? kuna sababu gani za kulilia sheria ya kutambua uhuru wa habari wakati wanaotakiwa kuutumikia uhuru huo wakibagua waandishi wao wenyewe?

pia, tukio la kuteswa kwake, tunawezaje kushindwa kusema pengine alibeba mke wa mtu na jamaa alilipiza kisasi kuliko anavyokimbilia kutuaminisha kwamba kuna mgombea ambaye alitaka kukatisha maisha yake? kwa nini kama ana ushahidi huo asiende kwenye vyombo vya sheria? nachukia sana watu wanajivika ngozi za kondoo kwa umma wakati ni mbwa mwitu tu.

mwangosi naye alibeba mke wa mtu?
 
Nadhani mchangiagi hajawa mpumbavu ila wewe ndo mpumbavu usiyefundishika kiasi cha kumtetea mtu ambaye kakaa kimya bila kwenda kwenye vyombo vya dola kuripoti wakati ana ushahidi wa tukio.nikuambie kwamba kumtetea kibanda unatakiwa uwe mwendawazimu.

Mumeo ndo mwendawazimu kutembea na waume za watu,huo wivu utakuua chezea bwabwa weye
 
Its very sad to loose people like kibanda kwenye hii vita ya mageuzi asilia ya tasnia ya habari na siasa kwa ujumla. Hivi ni fedha kiasi gani wanazopewa kutosha kuuza utu wao kabisa. Kwa sasa utashangaa kibdana huyu aliyesema Msaki ndio aliyetumiwa na wauaji wake kum tract kibanda usiku ule. Leo hiii Kibanda anafanyakazi na Msaki yaani Mhariri Mtendaji hakuwa na sauti katika kumkubali au kumkataa Msaki? kwa kuwa haiwezekani Kibdana akuhali kufanyakazi na wakala wa waujai wake kwa kiasi chohote cha fedha. Nimeshangaa sana, kwani ni asingeweka mguu chini kama kweli hao wakina Rostam nao hawakua wamehisika na hivyo njama. Pili na yeye aache kuchangany wasichana, hiyo kazi ya kutembea na wasichana wa newsroom ataacha lini maana inamtia aibut na kumvunjia heshima
 
Back
Top Bottom