Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa


Mbeya ngozi za binadamu dili
 
Kwani yule aliyemteka Dr.Ulimboka amekamatwa? huenda ni serial kidnapper in loose
 
Polisi lazima waanze na Tanzania Daima katika upelelezi.
Polisi lazima waanze na Tanzania Daima kwamba wewe ndio IGP unayetowa amri hii au DCI Robert Manumba? upuuzi wa Nape na Lumumba yenu umekufanya umekuwa kipofu hata kushindwa kujuwa kuandika No wonder Division zero 60%.
 
Yani umeongea kila kitu hapa kuna mchezo unaendelea kabisa na nina uhakika kule alikokwenda ndiko walipo mtega ili ionekane alipotoka ndio wana husika na kwa hili najua hawatafanikiwa kamwe!
 
Polisi lazima waanze na Tanzania Daima katika upelelezi.

.......

kwa nini wasianze na ikulu kama walivyohusika kwa ulimboka?watekaji wanajulikani kuwa ni wakazi wa magogoni,tabu yote ya uchunguzi ya nini!!!!
 
By Mlengo wa Kati

Chadema ni genge hatari sana,polisi angalieni kwa umakini sana kuna mkono wa Chadema hapo


Mkuu mlengo wa kati, chadema noma ndio waliompa viagra na wale machangu wawili marehemu molell mpiganaji wetu aliyefia gesti juzi arusha, halafu chadema wakamsimamia mollel apige gemu mpaka naniii ikaanza kutoa mapovu, chadema wakazidi kumlazimisha apige show mpaka mollel akafariki dunia kwa kudo, chadema nuksi sana

Na ndio wanaomtuma fast jet, jk, dhaifu, babamwanaasha asafiri duniani kilasiku, na kwenda kubadilisha damu ulaya kila mwezi,chadema mikosi sana.

Chadema noma wamewamobilize walimu kugoma, na wakawaambia watoto wa form four wachole mazombiezombiee... chezea chadema wewe.....
 
Polisi lazima waanze na Tanzania Daima kwamba wewe ndio IGP unayetowa amri hii au DCI Robert Manumba? upuuzi wa Nape na Lumumba yenu umekufanya umekuwa kipofu hata kushindwa kujuwa kuandika No wonder Division zero 60%.

.......

Mbona unataka kutetea maasi kwa nini baada ya kuondoka Tanzania Daima ndiyo kaanza kufuatwa na matukio ushahidi upo inawezekana hata wewe mfuasi wa Chadema ukahusika, mimi kama mtanzania mpenda amani naliomba jeshi la polisi lianze na hawa.
 
Mbona unataka kutetea maasi kwa nini baada ya kuondoka Tanzania Daima ndiyo kaanza kufuata ushahidi upo inawezekana hata wewe mfuasi wa Chadema ukahusika, mimi kama mtanzania mpenda amani naliomba jeshi la polisi lianze na hawa.

.......

Mimi nahusika na mahuwaji ya Mollel Arusha ndio nilimpa dozi kubwa ya Viagra mpaka akafia Hotelini akiwa uchi na condom mbili.
 
Mungu amponye na dhuluma za dunia hii. Natumai haiusiani na kazi yake ya uandishi.
 
Hili usiwe unaonekana mnafiki ni bora uwe una kaa kimya kabisa!
Kuna haja gani ya kuandika kwamba mliongea sababu za kutoka Tz Daima kama uwezi kuziandika hapa? Huu mchezo wenu ni wa kitoto kabisa!
Najua hizo dot ulipotaka kuziunganisha na huwezi kusema mengine zaidi!


Tunamtakia matibabu mema!


 
UPDATE/TAARIFA MPYA:

Kwa mujibu wa maelezo ya mgonjwa aliyekaririwa akizungumza kwa shida, ameeleza kuwa, majira ya usiku wakati akiingia nyumbani kwake alivamiwa na watu watatu --mmoja akiwa ameshika bastola na wawili wakiwa wameshika nondo-- ambapo alipofika nje ya nyumba yake, watu hao walilivamia gari lake, wakauvunja mlango wa gari lake, wakamtoa nje, wakaanza kumpiga vibaya sana, wakamtoa meno mawili, wakamng'oa kucha katika moja ya vidole vyake na kumtoboa jicho lake kwa nondo.


 
mkuu pasco naona unaanza kuandaa kitu, njaa itakuua na utasababisha maafa kama uamsho.........tumia busara
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kushangaa Pasco akimwagiwa Tindikali na nitakuwa wa mwisho kumpa pole kwa sababu tabia zake anatengeneza his own bomb, kushabikia vitu ambavyo hana uhakika navyo na mwisho wa siku kuwaacha watu kwenye Dilemma.

Huyu jamaa haambiliki, note this.
 
Mimi nahusika na mahuwaji ya Mollel Arusha ndio nilimpa dozi kubwa ya Viagra mpaka akafia Hotelini akiwa uchi na condom mbili.

Nadhani hakuna uhusiano wowote kati ya issue Mollel na Kibanda, unajichanganya mwenye huu ni ushihidi tosha nyie vijana wahuni wa Chadema mnahusika na mnatumika vibaya nyie ndiyo mtakaoisaidia polisi.
 
nataka kujua asap kama kitu chenye ncha kali kilitumika au jambazi alikuwa hana
 
Majambazi hawa ni wa ajabu sana, wanavamia na kujeruhi mtu bila kupora, au walimfananisha na mtu mwingine baadaye wakagundua siyo mlengwa. Ulimboka hakuweza kuwataja hadharani waliomdhuru, Kubenea naye haikueleweka vizuri wahusika walikua kina nani, Arusha mashambulio kama haya yameshakuwa ya kawaida kwa wanahabari. Daudi Mwangosi angalau kuna mtuhumiwa kamera zilimnasa. Hili la Kibanda linaweza kuishia hewani kama hakufanikiwa kuwatambua wahusika.
 

Mlizani mtammaliza bahati nzuri Mungu kamsaidia kapona na kaishasema wote anawajua subirini tu upelelezi uanze kutoka kwa vijana wa Mwema.
 
Mashambulizi haya ni style ile ile ya Kiighondu Ighondu, hapa sasa mwangaza umeshaonekana, kung'oa meno, kung'owa kucha na kutoitumia Bastola, kama wewe Pasco kweli ni Bingwa wa kuunganisha dots sasa tuunghanishe hapa kwa kauli hii kutoka kwa KIbanda mwenyewe tuone umahili wako.

Ila ukumbuke hapa tupo waangaliaji wazuri wa Series za Miami CSI. Tuna akili zaidi ya Uhasama wa Taifa, na tunajuwa what goes on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…