tangia mtanzania lilipoamua kuweka pua kwenye habari hii iliyopostiwa kwenye
hii post nilijua kibanda anajihatarishia maisha yake.
Mnakumbuka kuwa siku mbili tu baada ya hii habari, radio imaan iliiripoti na mtanzania, hasa mhariri wake akalaumiwa sana? Kwa mliobahatika kusikiliza yale matangazo ya radio imaan na waliokuwa wanaongea, mtajua kuwa kibanda alikuwa ameuweka usalama wake mashakani.
malaria sugu alileta thread aliyohitimisha kwa kusema aljaazira center inawataka mtanzania wakanushe habari hiyo ndani ya siku saba
[kwa bahati mbaya] baada ya ile habari, mtanzania inasemekana waliendelea kuchunguza kuhusu kile chuo, na punde wangekuja na more detailed report.
Pole sana kibanda...