Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

Tusiwe wepesi wa kuchora mstali na kuhitimisha kwenye jambo linalohitaji fikra pevu na uchunguzi mpana.
Cha kufanya ni kumtakia heri huku uchunguzi ukiendelea.

Hivi mapalala maana yake ni maganda au magamba?
 
katika wanaokwenda kumpa pole wahusika wamo pia!!!!
 
Duh! Hili tena ni jambo zito. Tuombe Mungu isijekuwa ni mwendelezo wa yale ya Dr Ulimboka. Kijan mahiri kwenye kazi yake naona hatakiwi. Watabaki akina nani jamani???????????????
 

mbona umecopy kipande tu? na hao wanaohitimisha kwa kuhusisha tukio hilo na mipango ya vyombo vya dola kuwateketeza wanaopinga serikali unawashauri nini
 

Kama yangu imejaa kamasi wewe imejaa maji.
 

mashaka yangu yapo kwa chadema kuwa wanahusika ktk tukio hili.
 
hahahha umemuona ronadilnho

Eti hata BENNY MACCATHY naye amekwenda kumsalimia kama siyo kujichora, nasikia alikuwa ana kikao jimboni kwake kule CHINI sasa sijui amekwenda saa ngapi na kurudi saa ngapi Dar
 

hakuna kitu kama hicho...............chadema ichunguzwe ktk hili.
 
serikali ya awamu ya liwalo na liwe

Hayo maneno ya mfa maji, mlifikiri mkifanya hivyo serikali itaonekana ndiyo imehusika wakati mambo yote yanajulikana
kuwa ni mgogoro wa Tanzania Daima na yeye ndo umemfikisha hapo. Pole yake jamani
 
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Umbeya mtupu; serikali inayoshindwa kulinda usalama wa watu wake haina maana. Elimu mmeshindwa..... Kilimo mmeshindwa........ Umeme mmeshindwa...... Afya mmeshindwa...... Hata usalama wa watu na mali zao umeshindwa? Aibu kuubwa
 
Watanzania tuna uoga sio amani tunadanganywa. Damu yako iwe chachu ya ukombozi kibanda. Wanahabari kuweni chonjo na magamba!
 
tofauti yake nini? tume ngapi zimeundwa na zimeishia wapi Tume ya Dr Ulimboka ilipewa muda gani?na nini kinachoendelea? ya mwangosi je? ya Kubenea kumwagiwa tindikali?kwanza bora hata kule kusikokuwa na amani kasisa kuliko hii ya hapa kusiojulikana amani ipo au haipo tunasikia tuu katekwa na kunyofolewa kucha mara meno na vitendo vinginevyo? kumbuka wanaopewa madaraka na huyu mlala hoi na kumlipa pia na ulinzi kwa huyo mkubwa ni huyu huyu anayeteswa ndiyo anafanya yote haya.TUTALINDA USALAMA WA NCHI NA WATU WAKE DAH?
 
hii nchi inalaana yaani ubinadamu umeshaisha kabisa yaani afadhari kukutana na mnyama na si binadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…