Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,974
Natamani Jeshi letu la polisi lingekuwa na uwezo wa kuchunguza masuala kama haya. Pia natamani angekuwa mtu mkubwa serikalini kwani tungekodi FBI. Poor bro Kibanda. Wish you a quick recovery
......
ametekwa akirudi nyyumbani getini km saa sita na nusu mlinzi alipomfungulia aliona watu wawili wamembeba wanakimbia nae,ndo akaja kutuamsha hawakuchukua kitu chochote kwenye gari kulikuwa na lap top nk,baadaye amekutwa amepigwa sana alikuwa hawezi hata kusema,inaonekana hao hawakuwa majambazi ni watu waliotumwa kumdhuru but not proffesional kwa sababu hawakupoteza malengo km wangechukua v2 kwenye gari tungesema ni
majambazi any way ngoja tusubiri ila Police wanakatisha tamaa wamechukua muda kuja
Ooh boy.. tunamuombea apone.. ni matumaini yangu kuwa hili halihusiani na kazi yake ya uandishi.
Tusiwe wepesi wa kuchora mstali na kuhitimisha kwenye jambo linalohitaji fikra pevu na uchunguzi mpana.
Cha kufanya ni kumtakia heri huku uchunguzi ukiendelea.
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
Hii ni kudhihirisha tu kwamba wananchi hatuko salama kabisa. Kama wananchi wanavamiwa, wanapigwa, wanajeruhiwa na wengine kuuwawa kila mara na serikali kupitia vfyombo vyake vya dola wameshindwa kabisa kudhibiti hali hiyo ni dhahiri kwamba kama taifa tunahitaji kujipanga na kuchukua mwelekeo mpya kwa ajili ya usalama wetu.
Hii inadhihirisha pasipo shaka yoyote kwamba usalama wa taifa pamoja na jeshi la polisi wameshindwa kabisa kutekeleza majukumu yao ya msingi kwa raia wa nchi hii, na kimsingi hatuoni umuhimu wa kuwa na usalama wa taifa tulio nao kwa sasa kwakuwa wameshindwa kabisa kazi waliyotumwa kuifanya.
Na kwahali hii tunalazimika kuhitaji overhaul ya idara hii nyeti kwa ustawi, usalama na maendeleo ya watanzania. Major overhaul kwa TISS ni kitu kisichoepukika kwa sasa.
Ulimboka alivyotekwa tuliambiwa CCM sasa Absalom Kibanda tutaambiwa nani.
Hii ni kudhihirisha tu kwamba wananchi hatuko salama kabisa. Kama wananchi wanavamiwa, wanapigwa, wanajeruhiwa na wengine kuuwawa kila mara na serikali kupitia vfyombo vyake vya dola wameshindwa kabisa kudhibiti hali hiyo ni dhahiri kwamba kama taifa tunahitaji kujipanga na kuchukua mwelekeo mpya kwa ajili ya usalama wetu.
......
Must you show everyone that you began smoking marijuana as early as in the womb?
.......
Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.
......