Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Sidhami kama polisi wanapotezwa kirahisi namna hii. Ingekuwa hivi basi waalifu wote wangepeta tu. Pa kuanzia wanajua na wewe utasaidia kama kawaida!Polisi waanze uchunguzi na gazeti la tanzania daima na chadema. kwani hatuelewi ni kwanini alikimbia huko alipokuwa mhariri wa hilo gazeti la mwenyekiti wa chama.