chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
endeleeni kuruka sarakasi na taulo mbele ya wageni.hata ulimboka mlianza kurusha maneno kwa cdm.mwisho wa ubaya aibu.
Hivi CCM kila kosa CDM si wakifute sasa propagaganda nyingine bwana hata mnashangaa so siku hizi lumumba ndio wasemaji wa usalama wa taifa....mimi kuzaliwa tanzania....huu ushetani mwingine ....