wilchuma
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,102
- 333
Serikali huwa haishindi kesi kwasababu huwa inaendeshwa na emotion badala ya facts, Inaonekana hapa ofisi ya mwanansheria mkuu haikumshauri DPP vizuri na hii ni upotezaji wa muda kwa kumshataki mtu kwa hisia badala ya vidhibiti.
haki imetendeka at last,kwenye dunia hii iliyojaa waongo,mabazazi,mahayawani,waliokosa utu,mkweli siku zote ataonekana adui,na inahitaji ujasiri wa ziada kuwa mtu huyo,shall truth only set us free!