Absalom Kibanda na Theophil Makunga waibwaga serikali kesi ya uchochezi

Samsoni Mwigamba ameshinda kesi ya uchochezi ilyokuwa ikimkabili yeye na wenzake Absalom Kibanda na Makunga. Kesi hiyo ilifunguliwa na Jamhuri baada ya Mwigamba kuandika Makala katika gazeti la Tanzania Daima iliyokuwa na wito kwa askari wote kutokutii amri ambazo si halali zinazotoka kwa wakubwa zao hasa zile zilizokuwa na lengo la kuua raia hususani kwenye mikutano ya CHADEMA.
 
Kumbe kesi za uchochezi zipo toka kitambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…