Dorome
JF-Expert Member
- Nov 11, 2021
- 397
- 746
Hapa kwa singida kwa sasa mmiliki ni mwingineMwigulu anamiliki timu ya SINGIDA BIG STARS lazima akili yake ipagawe maana wachezaji na timu yote inahitaji Kula Sasa akili za kutatua matatizo ni kukopa Kwa Kasi ili afanyie mambo yake.Usisahau hata kassimu majaliwa anamiliki timu ya namungo Kwa hiyo hawa wapo tayari kuuzwa ,kupapaswa,na Jambo lolote lakini timu zao ,zifanyekazi