Abu Dhabi kuikopesha Tanzania Tsh Bilioni 70 kujenga njia ya kusafirisha umeme Benako hadi Kyaka mkoani Kagera

Abu Dhabi kuikopesha Tanzania Tsh Bilioni 70 kujenga njia ya kusafirisha umeme Benako hadi Kyaka mkoani Kagera

Mwigulu anamiliki timu ya SINGIDA BIG STARS lazima akili yake ipagawe maana wachezaji na timu yote inahitaji Kula Sasa akili za kutatua matatizo ni kukopa Kwa Kasi ili afanyie mambo yake.Usisahau hata kassimu majaliwa anamiliki timu ya namungo Kwa hiyo hawa wapo tayari kuuzwa ,kupapaswa,na Jambo lolote lakini timu zao ,zifanyekazi
Hapa kwa singida kwa sasa mmiliki ni mwingine
 
Mkataba unasemaje?

Tunawapa nini in exchange?, maana tunajua hakuna free lunch

Usije ukakuta mmewapa concenssions ya rasilimali zetu kibao ili mpate tu hivyo vijisenti vya bilion 70 ambavyo hata sisi tunaweza kuvipata tukibana mianya ya ufisadi na kubana matumizi!

Leteni habari za mchakato na si event!
Pole
 
Huo Mkopo Nafuu how Nafuu is Nafuu ?!!!

Sarakasi zimekuwa nyingi badala ya kumaliza Bwawa umeme ushuke sasa hivi tunaambiwa hata umeme hautashuka ingawa Bwawa litapunguza Gharama hatujaa vema tunaambiwa tunakopa ili wajukuu waje kulipa (Riba ipoje - hakuna anayejua) eti Nafuu...
 
Nawadokezea kidogo [emoji1484]
Mashirika ya serikali na wizara zilizoingia makubaliano (MoU) na mashirika (ya kiserikali mostly) ya Dubai na Abu Dhabi wakati wa Dubai Expo ni pamoja. Na
[emoji1428] TANESCO
[emoji1428] STAMICO
[emoji1428] Wizara ya Nishati
[emoji1428] Wizara ya Habari
[emoji1428] Daily News (Standard Newspaper)
[emoji1428] TPA
[emoji1428] TTCL
[emoji1428] Wizara ya Kilimo....

Zanzibar MoU 1 (moja[emoji845]) tu ya utalii

TPA kupitia Wizara ya Nishati ina MoU 3 (tatu) na DPW
20230809_222425.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom