Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli matajiri wa bongo wote hawa hakuna mwenye Bil 70[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787] mamaee hii nchi umaskini umezidii kwa kwelii...!! Aibuu sanaaaa.. bajeti ya nchi Trilion 13 alafu tunakopa Bil 70???? Au ndo kuoneshaa Waarabu wana moyo mzurii tuwape bandariii.Ni aibu kwa nchi kukopa bilioni 70 wakati waziri na naibu waziri wanaendesha gari za milioni 400.
Ni kutokuwa na akili
Billion 70 nayo mpaka Mwarabu.
Hakika awamu hii Waarabu watafaidika sana.
Mwingine kakamatwa huko India na mabilioni kibaoIla wakati mwingine tunatia aibu, Tanzania ni ya kukopa bil.70 Wakati Kuna Rais wa Wanyonge alificha Bilioni 100 ndani?