Abu Dhabi kuikopesha Tanzania Tsh Bilioni 70 kujenga njia ya kusafirisha umeme Benako hadi Kyaka mkoani Kagera

Hapa kwa singida kwa sasa mmiliki ni mwingine
 
Pole
 
Huo Mkopo Nafuu how Nafuu is Nafuu ?!!!

Sarakasi zimekuwa nyingi badala ya kumaliza Bwawa umeme ushuke sasa hivi tunaambiwa hata umeme hautashuka ingawa Bwawa litapunguza Gharama hatujaa vema tunaambiwa tunakopa ili wajukuu waje kulipa (Riba ipoje - hakuna anayejua) eti Nafuu...
 
Nawadokezea kidogo [emoji1484]
Mashirika ya serikali na wizara zilizoingia makubaliano (MoU) na mashirika (ya kiserikali mostly) ya Dubai na Abu Dhabi wakati wa Dubai Expo ni pamoja. Na
[emoji1428] TANESCO
[emoji1428] STAMICO
[emoji1428] Wizara ya Nishati
[emoji1428] Wizara ya Habari
[emoji1428] Daily News (Standard Newspaper)
[emoji1428] TPA
[emoji1428] TTCL
[emoji1428] Wizara ya Kilimo....

Zanzibar MoU 1 (moja[emoji845]) tu ya utalii

TPA kupitia Wizara ya Nishati ina MoU 3 (tatu) na DPW


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…