Nchi kama ina laana hii, upigaji mwingi mnoo.. Kwana mradi unahitaji bilioni 113 sijui.
Lakini opec katoa 60b, marekani b 13 bado tumeenda kukopa bilioni 70b.
Jumla b143.
Yote 9, taifa linakopa bilioni 70 serious, miwaziri inatembelea magari ya milioni 400 huko!!