Abubakar Mzuri afafanua kuhusu kufumaniwa kwake

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Abubakari Mzuri ameelezea kuwa hakufumaniwa bali alikuwa akiishi na mwanamke aliyekuwa ameechana na bwana wake kwa mwaka mzima
Na mtu akaona wivu na kwenda kumfanyia vurugu, mwanamke huyo pia alikuwa nae na kufafanua jambo hilo lilisukumwa na wivu wa huyo jamaa na walikuwa wameshaachana muda mrefu
 
Jamani si nasikia mwanamke mwenyewe ni shangazi yake...

Tena soudy alimpigia,shangazi akasema kwani kufumaniwa ajabu....

Au story ilipikwa???

Au Abuu kamkodi huyo manzi ndo ajifanye alifumaniwa nae???

Mmmm
 
Jamani si nasikia mwanamke mwenyewe ni shangazi yake...

Tena soudy alimpigia,shangazi akasema kwani kufumaniwa ajabu....

Au story ilipikwa???

Au Abuu kamkodi huyo manzi ndo ajifanye alifumaniwa nae???

Mmmm
Kiki kila eneo
 
Jamani si nasikia mwanamke mwenyewe ni shangazi yake...

Tena soudy alimpigia,shangazi akasema kwani kufumaniwa ajabu....

Au story ilipikwa???

Au Abuu kamkodi huyo manzi ndo ajifanye alifumaniwa nae???

Mmmm
Duuh makubwa
 
Mhhh Mi dont buy dis,Abubakari Mzuri umekula mke wayo mtu tu,mbona watu kibao wanaachana na wapenzi na wanaenda kungine hawakutani na hayo makitu.
 
Yani hilo jimama la kiswahili haswa..kweli vijana tutafute hela huyu A.M hapo kafuata hifadhi tu

Na linadai eti lilikua na video ya mme wake?? Akiwa anafanya nn??anajisaidia au alikua analimega??? Me hata sijalielewa
 
Yani hilo jimama la kiswahili haswa..kweli vijana tutafute hela huyu q chf hapo kafuata hifadhi tu

Na linadai eti lilikua na video ya mme wake?? Akiwa anafanya nn??anajisaidia au alikua analimega??? Me hata sijalielewa
hahahah ila sio q chief uyo mkuu.
 
Kuna haja gan ya kuja kutuambia angekaa kimya tuu
 
Jamani si nasikia mwanamke mwenyewe ni shangazi yake...

Tena soudy alimpigia,shangazi akasema kwani kufumaniwa ajabu....

Au story ilipikwa???

Au Abuu kamkodi huyo manzi ndo ajifanye alifumaniwa nae???

Mmmm
Niliona kwenye weekend chart show akidundwa baada ya kufumaniwa. In short alichezea migumi had damu zikamtoka
 
Duu dogo kakamatwa na jimama la mujini,hizi Kiki zingine sio...
 
Angejikalia tu kimya kwanza wengine tulishasahau.
Hapo kafanya kutukumbushia
 
Yesu hawezi tia mguu duniani kwa mtindo huu. Tutamkuta huko huko. Me nimeshaanza safari. Paradiso mbali asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…