my dear samhani sana
ila huo ni mfano tu ..
na nimeweka hivyo maana
ni majority (wanawake na watoto)
mara nyingi lakini kweli kuna
wanawake wengine ni sumu pia..
samahani kama nimekukwaza
asante sana kwa mtazamo wako
ningependa kukuliza ni group gani la watu
mfano.. watoto , wanawake, waume , vijana
wanaokubwa na hizo type za abuse na kwa nini
hilo group is the main target???
ntakuongezea maswali baada ya hayo ..
mmmhh Pole ae usinichukie sababu nakubana sana
hahahhahaah lol unasaidia wengi dear ..
Ninasita kuchangia kutokana na matatizo niliyoyapata
Naandaa mkanda aliosema CPU hapo juu!my dear samhani sana
ila huo ni mfano tu ..
na nimeweka hivyo maana
ni majority (wanawake na watoto)
mara nyingi lakini kweli kuna
wanawake wengine ni sumu pia..
samahani kama nimekukwaza
haka nako ni ka kupeleka lupango,tumikono twenyewe twa kupiga mtu tuko wapi?
Hii ndo dawa yenyewe ya kumaliza ugomvi.
Angalia mpwa usipige usoni maana SAW amekataza refer video ya mchungaji.
Hii topic ina mambo mengi sana my dia
Yaani ni kama umekusanya mafaili ya ofisi tatu za Mamlaka za Kodi nchi za USA, China na Brazil halafu umeweka ktk kajidude kamoja kadogo (flash)
Kwanza naomba nikurekebishe kwamba Sexual Abuse tunatafsiri kwa kiswahili kama Unyanyasaji wa Kijinsia
Naomba sasa nielezee kisa kimoja cha Unyanyasaji wa Kijinsia.
Kuna mdada ana mtoto mmja ameolewa, ana miaka minne katika ndoa yake, alizaliwa miaka 24 iliyopita.
Yeye na mume wake walikua wana pendana sana na mpaka sasa mdada anasema bado anampenda tena sana mume wake.
Ananiambia, " Yaani CPU, siku hizi mume wangu kabadilika sana kiasi najuta hata kuolewa yaani kidogo kanitukana mara mshenzi mara mjinga mara ananitisha kunipiga kwa kusema mimi simjui vizuri ndio maana nashindwa kufanya atakavyo.
Ukweli ninachanganyikiwa mume wangu anakuwa kigeugeu anaweza akakwambia "mimi sipendi uvae nguo ndefu", ukivaa fupi kwa muda huo aliosema anafurahi sasa itokee siku nyingine akuambie tutoke ukivaa hiyo nguo fupi anaanza
" . . . . unaenda kumuonyesha nani? Unatakautongozwe kwani mimi sikutoshi? "
Ukivaa ndefu au suruali ananyamaza.
Juzi simu yangu ilijizima nikiwa salon iliyo nje ya uzio wa nyumba tunayo ishi. Akampigia rafiki yake akaja mpaka saloon nikaongea naye kupitia simu ya rafiki yake. Jamani hakutaka kukata simu mpaka muda wa kazi uishe, karudi home hakuna salam ananiambia "utanieleza uliko kuwa" huku anatafuta mkanda aanze shunghuli. Mimi nikamwambia mimi sijatoka hata gengeni sikwenda.
Siku hiyo ndipo alipo mwita mtoto wake mwenye miaka minne nilimkuta naye akamuuliza, ndipo mtoto akamwambia "mama leo hajaenda mahali zaidi ya saloon anako sema" mume wangu akaona aibu akaondoka.
CPU, hata sasa nikimuuliza kwa nini ananifanyia hivyo ananiambia nisimkumbushe anakasirika mpaka nashindwa hata kuendelea kumuuliza. Ni mengi lakini naomba unisaidie "
haka nako ni ka kupeleka lupango,tumikono twenyewe twa kupiga mtu tuko wapi?
Tabia ni kama ngozi ya mwili na mtoto wa nyoka ni nyoka;
Hivi vitu vilikuweko toka enzi za babu yetu DAUDI kwani alimdhulumu askari wake mke tena akampeleka vitani ili auawe ndo aweze kumla mjane kwa raha zake.
Haya mambo ni takribani 95% ya mambo yatendekayo duniani, halafu 5% ni usamaria wema ambao usipokaa vizuri unapigwa changa la macho pia.
Oh dear siku hizi mbona watu wengi wamefungwa sana tu.Zamani jinai hizi zilikuwa haziadhibiwi kwa sababu ya ukimya wa jamii,siku hizi watu wameamka,wakiona mathalan mtoto kafanyiwa mbaya wanachofanya ni kumtonya mwandishi wa habari(wamejaa tele mitaani tunakoishi),akishaaandika tu kwenye gazeti/TV/radio -hasa kipindi cha clouds 'Leo tena' saa 3 asubuhi,Kova akisikia tu wangu wangu anatuma vijana wa kazi maana anajua kesho yake media itamdai mrejesho.
Ukichuja unadhurumiwa haki zako zote za msingi
haka nako ni ka kupeleka lupango,tumikono twenyewe twa kupiga mtu tuko wapi?
Huyu mdada kulia ni mzuri sana kwa muonekano.
Hata nikimuona ktk maigizo yake na sauti yake kwa kweli yuko kipekee.
Binafsi nakiri (mimi kama mwanaume) amenivutia sana kwa sifa za muonekano
Tatizo ni tabia za kichwani mwake
Atakae muoa huyu, kama akiwa mtu wa aina ya Dudu Baya uzuri wake wote utapukutika
hapa naoana Verbal abuse pamoja na hate
sasa CPU my dear dahhhhh pole sana
umeweza msaidia vipi??
au umepa maneno gani ya kumfariji??
Nasikia amesha mwagana na Diamondo anajiita rais wa wasafi
Sijui anamnyemelea mzee wa combinanga? Lakini hamuoni kama nae anafanya dhuruma ya mapenzi?
mmmmhhhhhh
we ni fujo nyingi tu
mi si nakujua wewe
hahahaaahh lol
Hivi wana respond vipi kwako
pale unaporopoka kama uji wa ugali
hahahahha lol