AC ya gari yangu nikiiwasha inaleta upepo wamoto

AC ya gari yangu nikiiwasha inaleta upepo wamoto

Dah basi kama hautaweza kwenda kipindi hiki jipange mwakani miezi ya kuanzia wa sita uende mkoani mbeya, iringa au maeneo ya Makete, Mafinga halafu uone matumizi ya hiyo kitu.

Hautataka kushuka kwenye gari.
Baridi huwa naliogopa sana, sitakuwa na amani.
 
Commpressor si kitu Rahisi kuharibika katika masuala ya AC .Lkn mafundi wa kibongo na wizi wao wanakwambia Compressor imekwisha ili wapate pesa ya kukupiga tu
 
Acha kumshauri vibaya mwenzako hilo eneo la thermostat. Hicho kifaa huwa hakitakiwi kutolewa unless kikiharibika kinatakiwa kubadilishwa.
Kazi yake ni very nyeti ..... Hautakiwi kumshauri mtu kutoa Thermostat kwenye gari yake na inafanya kazi sawa sawa.
unachanganya unatakiwa uelezee thermostat inahusikaje na cooling wewe umetupia tu Onyo
nimeelezea katika post yangu point ya 2 kuwa thermostart ni kifaa kinachokaa kati ya engine na rejeta inahusika na kuhifadhi joto la maji ya injini yasipoe ili asubuhi au huko kwenu Mafinga kwenye baridi utakavyowasha mlipuko ndani ya cyilinder combustion itokee
yeye ana Nissan xtrai tena Dsm kwenye joto hiyo kitu atupe mbali na wala asiirudishe kwani kinazuia (Block) utiririkaji wa maji mpaka gari lipate joto
How does the thermostat in a car's cooling system work? Any liquid-cooled car engine has a small device called the thermostat that sits between the engine and the radiator. ... Its job is to block the flow of coolant to the radiator until the engine has warmed up.
Gari za Ulaya matumizi mengi si ya hapa Afrika asikilize ushauri wa mafundi sio sio wa wauzaji wa magari au hadithi za mitaani

sasa gari ipo Dsm kwenye joto 38c eti liwake kwenye 100c ataachaje kusikia gari inachemsha au ina joto
Member MissM4C kamsikilize fundi wa cooling system sio dereva mzoefu
 
Pole sana, ngoja waje kukupa muongozo...

Ila kama inatoa joto maana ume press button ya heater...
 
nilivoaminishwa gari la japan unatoaa ila za european usitoee 😀 😀 😀 😀
Hahahah... Kuna mtu alitoa Themostat kwenye VW.

Kwanini radiator fan zisiache kuzunguka. Gari ilichemsha alijuta.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
View attachment 1931002
  • huyo jamaa yako hawezi kukubadilishia compressor ya A/C
  • hiyo Thermostart toa na tupilia mbali kwani kazi yake ni kutunza joto la engine unapozima ili ukiliwasha asubihi liwake bila kusumbua, na kama ipo Fan huwa haizunguki mpaka joto litakapopanda ili lipooze
  • kuna member kakwambia angalia knob za kubadili joto kwenda baribi zipo za zuina nyingi zipo za kuslide na km hizo za kwenye picha jaribu kuweka kwenye upande wa baridi/ bluu
  • jaribu kumuona fundi wa injini aangalie rejeta labda haitunzi maji kweye reservor yake pembeni
  • bado hujasema ni gari aina gani unaweza kukuta ni Land Rover 109 sisi tunapingana tu huku

''hiyo Thermostart toa na tupilia mbali kwani kazi yake ni kutunza joto la engine unapozima ili ukiliwasha asubihi liwake bila kusumbua''

Sawa fundi, kwa hiyo unataka kutuaminisha Thermostat haina umuhimu kwenye gari za dizeli sababu kuna glow plug ambazo zinapasha joto engine kabla ya kuwasha gari?
 
unachanganya unatakiwa uelezee thermostat inahusikaje na cooling wewe umetupia tu Onyo
nimeelezea katika post yangu point ya 2 kuwa thermostart ni kifaa kinachokaa kati ya engine na rejeta inahusika na kuhifadhi joto la maji ya injini yasipoe ili asubuhi au huko kwenu Mafinga kwenye baridi utakavyowasha mlipuko ndani ya cyilinder combustion itokee
yeye ana Nissan xtrai tena Dsm kwenye joto hiyo kitu atupe mbali na wala asiirudishe kwani kinazuia (Block) utiririkaji wa maji mpaka gari lipate joto
How does the thermostat in a car's cooling system work? Any liquid-cooled car engine has a small device called the thermostat that sits between the engine and the radiator. ... Its job is to block the flow of coolant to the radiator until the engine has warmed up.
Gari za Ulaya matumizi mengi si ya hapa Afrika asikilize ushauri wa mafundi sio sio wa wauzaji wa magari au hadithi za mitaani

sasa gari ipo Dsm kwenye joto 38c eti liwake kwenye 100c ataachaje kusikia gari inachemsha au ina joto
Member MissM4C kamsikilize fundi wa cooling system sio dereva mzoefu
Bado hufahamu kazi ya thermostat
 
Nikiwasha inaleta upepo wa moto... hot air badala yabaridi shida ni nini wakuu. pia gari ilikuwa na tatizo kKuchemsha nikatoa thermostat naomba msaada.

Ushauri wenu muhimu
Ni setting wala hakuna ubovu hapo
Usipokee ushauri wa madereva wa Toyo
Toya Haina a/c
 
Hahahah... Kuna mtu alitoa Themostat kwenye VW.

Kwanini radiator fan zisiache kuzunguka. Gari ilichemsha alijuta.
Hahahahahahaha ...sema za ulaya thermostat muhim sana japo gari zote ni muhim ...kuna mini cooper mpaka zile pipe za hydroric zinapozwa na feni....sasa ifeliii dk hydroric yote chini
 
Bado hufahamu kazi ya thermostat
bado na wewe hujui hata kuchangia
ungetoa maelezo yako thermostart ni nini tungeanzia hapo
je unajua kwenye radiator kuna Fan zaidi ya moja, nayo tunakata wire wa automati ili Fan ipige direct bila kusubiri joto
kwa huku Nchi za Joto hicho kitu inasumbua sana engine labda Nchi za baridi

Michango ya wenzako kuhusu thermostart
Seems like lots of people ask what will happen if they run their engine without a thermostat. Some people say your engine will overheat because of the constant coolant flow, and some say your engine will just stay cold, so I wanted to try for myself. There are lots of variables, and every car will be different, but I found that it works pretty good. I use this car for just spinning around in the field and having fun, so I like having a temperature "buffer" before it gets too hot.


Bina Garten

3 months ago (edited)
In the old days the Ford CVH 1.6 engines, ran too hot, so we just use to remove the theromstat and that fixed the issue. Ford later revised the cooling system for a larger radiator. Ford are total numbskulls
 
bado na wewe hujui hata kuchangia
ungetoa maelezo yako thermostart ni nini tungeanzia hapo
je unajua kwenye radiator kuna Fan zaidi ya moja, nayo tunakata wire wa automati ili Fan ipige direct bila kusubiri joto
kwa huku Nchi za Joto hicho kitu inasumbua sana engine labda Nchi za baridi

Michango ya wenzako kuhusu thermostart
Seems like lots of people ask what will happen if they run their engine without a thermostat. Some people say your engine will overheat because of the constant coolant flow, and some say your engine will just stay cold, so I wanted to try for myself. There are lots of variables, and every car will be different, but I found that it works pretty good. I use this car for just spinning around in the field and having fun, so I like having a temperature "buffer" before it gets too hot.


Hayo mambo ya Thermostat nilishayaeleza a year ago. Pita usome huko.

Thread 'Muhimu: Zijue athari za kuondoa thermostat kwenye gari yako' Muhimu: Zijue athari za kuondoa thermostat kwenye gari yako

Ila siyo kutuambia kazi ya thermostat ni kukeep joto kitu ambacho unatudanganya.

Kuwa heat exchanger ndio kukeep joto ili usishindwe kuwasha gari asubuhi?
 
Nikiwasha inaleta upepo wa moto... hot air badala yabaridi shida ni nini wakuu. pia gari ilikuwa na tatizo kKuchemsha nikatoa thermostat naomba msaada.

Ushauri wenu muhimu
Uza hilo gari haraka, utakuja kuungua siku moja
 
Hayo mambo ya Thermostat nilishayaeleza a year ago. Pita usome huko.

Thread 'Muhimu: Zijue athari za kuondoa thermostat kwenye gari yako' Muhimu: Zijue athari za kuondoa thermostat kwenye gari yako

Ila siyo kutuambia kazi ya thermostat ni kukeep joto kitu ambacho unatudanganya.

Kuwa heat exchanger ndio kukeep joto ili usishindwe kuwasha gari asubuhi?
usiyoyajua
mm nimkuambia soma na ya wenzako km ni lugha ya kazi za thermostart pitia inaonekana ni Ligi sasa kutuletea mambo na You tube ni kuhusu Nchi za Joto na ndio mleta Mada anakaahiyo link

Drew Enero

1 month ago
And your rad fan is in direct switch mode thats why you have no thermostat in your cooling system.. When the engine is cold, the thermostat is closed and prevents coolant from flowing into the enginr and allows the engine to warm up. Once the engine has warmed, the thermostat will open and allow coolant to flow and cool the engine when it starts to get too hot

Jon B

5 months ago
I bought my car years ago and it didn't have a thermostat, never had issues with it, I installed one, drove for couple of years, recently replaced coolant, bled the system, but overheats after idling for a while but it cools down when I turn the heater on to full. Think I should remove it
mleta Mada kazungumzia Mji alioko ni wa joto na sio Nchi za baridi tofautisha Mada, hao wanaozitoa hizo T/start sio wajinga na maggari yao yanadumu
 
Back
Top Bottom