Riziki Mohammed
Senior Member
- Mar 4, 2017
- 118
- 205
Wasanii wa BongoMuvi wako Mbugani na Mahotelini wakila Pasaka, wakati wasanii wa BongoFleva wako Mikoani wanapiga Kazi.
Sasa hapo unategemea tutanunua Filamu kweli? Wamebakiza kumtumia tu Mkuu wa Mkoa awasaidie utadhani mayatima badala ya kuweka starehe na show-offs pembenj na kupiga kazi..Shame
Sasa hapo unategemea tutanunua Filamu kweli? Wamebakiza kumtumia tu Mkuu wa Mkoa awasaidie utadhani mayatima badala ya kuweka starehe na show-offs pembenj na kupiga kazi..Shame