According to Islam, masterbation si dhambi

Tulia weweee Mongolian savage.
 
Samahani,kwani kwenye bible imeandikwa kuwa ni dhambi?
Swali zuri...
Mungu ameshaweka utaratibu wa jinsi ya ku-deal na Sexual desires(nyege), ni njia moja tuu nayo ni kufanya mapenzi na mke wako, sasa unapo masterbate kwanza una engage kweny sexual activities na mwili wako mwenyew😅 pili huwez funga ndoa na mwili wako kama mungu anavotaka kwamba sex lazima ihusishe binadamu wawili waliooana, tatu hata ukitumia dildos or sex toys bado ni dhambi cause kama nilikwambia mwanzo mungu ana utaratibu wake wa haya mambo, masterbation ni uzinifu na ni dhambi, period.
 
Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrou
 
Si sahihi .... Ni dhambi sababu inakukurubisha kwenye zinaa
 
Kuna ishu kama 3 ambazo zimekuwa zikikosa muafaka;
1. Nyeto
2. Ulaji wa kitimoto
3. Hoja za Dr Janabi.
 
Mkuu sigara haiharibu afya? Mbona ni makrou na watu wanajivutia sana Cairo na Riyadh? Bangi nayo ni jamii ya sigara kwa hiyo nayo ni makrou
Wanazuoni wakubwa wametoa fatwa kuwa Sigara ,Mirungi ,Bangi ni haramu na sio Makruhu.

Search YouTube au maandiko ya kidaktari athari ya hivyo vitu mwilini , vilevile inasababisha kero kwa watu Moshi na harufu mbaya kinywani.

Hata likivutwa Makkah haiahalishi bado.
 
KUJIPA RAHA🤣🤣🤣.sema mgunduzi wa nyeto sijui aliwaza nini
 
Hii nchi imejaa watu wajinga sana
~Dr Mollel
 
Kitendo cha kula chakula kwa mkono wa kushoto hakipendezi lakini sio dhamb.ngoja nkapige nyeto choon
 
Kwa mujibu wa bingwa amesema njia nzuri yaku-avoid masterbation ni kufunga(fasting)
Haiko sawa, kama sote tujuavyo Islamic Fasting hufanyika kuanzia asubuhi hadi jioni na ukiwa na njaa mara nyingi unakuwa huna fikra za kukaza.

Lakini Jua likishazama ukafungua ukala ukashiba NYEGE zinarejea kama zote iñakua ni kubadilisha time za kupiga Nyeto badala ya mchana au asubuhi inakuwa magharibi au usiku.

Kwa hiyo hii mbinu ya kufunga kula mchana haisaidii.

Dawa ya Nyege ni Kuwakaza.
 
Watu Saba ambao hawataingia peponi ni Hawa wafuatao;

Wakwanza yule anayemkera jirani yake.

Wapili ni yule anyefanya hayo uloyaweka mezani.
 
Huwezi kukuta cocain kwenye vitabu bali watahawilisha au kufananisha inaleta madhara gani kama waliyozungumzia akina masters.
Petrol na spirit zote zinaleta handas ila ni uvumbuzi mpya.
Sasa hivi kuna halucination hata ya umeme, electeonics halucination.
Hivyo vitabu havina majibu ya vilevi vya kisasa ila wanafananisha matokeo.
 
Sijawahi ona jibu la ovyo kama hili.Kwa hiyo Mungu huyo mkamilifu tuanze kwanza vigezo vya ndoa anayoibariki yeye
1.ndoa iwe ya watu wazima kuanzia 18
-Mimi nikiwa na miaka 10 nilikuwa na nyege sawa na mtu mwenye miaka 30 miaka 13 nlikuwa naenda kula malaya ambiance .je huyo mungu mkamilifu kwa nini alete nyege kwenye umri usio wa kuoa ? Mlivologwa utasikia ili akupime imani unampima Imani mtoto kwa miaka 8?
2.Kuoana kuwe sababu ni mapenzi sio nyege.yaan ukioa mwanamke huku humpendi ni dhambi
-hivi unajua kuna watu wanaweza wasiwahi penda hadi miaka 40 .mfano mm nilifall in love kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 27 na ndo nlomuoa.kwa hiyo kupenda ni zawadi toka kwa mungu je alikuwa ananijaribu hadi 27
Eti mungu anautaratibu wake Upi wakujaribu viumbe anavojua ni dhaifu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…