Account ya Ibraah yafutwa youtube (pigo)

Account ya Ibraah yafutwa youtube (pigo)

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Channel ya Youtube ya msanii Ibraah wa Konde gang imefutwa (Terminated) inasemekana kuna vitu amekiuka ikiwemo copyright na wataalamu wa mitandao wanasema account ikishakuwa Terminated hakuna uwezekano wakuilidisha tena . Ingekuwa imehackiwa wangeiludisha ila kuwa Terminated dogo inabidi aanze upya.
1622455859276.png

 
Franky Samuel Kwanza kabisa pole kwa yaliyowakuta ila Kuendesha label ni kazi ngumu ila huku kwetu wanafanya Kama sifa ikiwemo kuendesha kihuni kihuni ndio madhara yake hayo.

Kwa hapa bongo label ambayo inaendeshwa kiweledi ni WCB wale jamaa wamejipanga Wana hadi wataalamu wa IT walienda shule kabisa ndio maana wanapata Mafanikio makubwa.
 
Franky Samuel Kwanza kabisa pole kea yaliyowakuta ila Kuendesha label Ni kazi ngumu ila huku kwetu wanafanya Kama sifa ikiwemo kuendesha kiuni kiuni ndio madhara yake hayo.Kwa hapa bongo label ambayo inaendeshwa kiweledi Ni WCB wale jamaa wamejipanga Wana Hadi wataalamu wa IT walienda shule kabisa ndio maana wanapata Mafanikio makubwa.
Nilitegemea ungewasifia wasafi
 
Channel ya youtube ya msanii Ibraah wa konde gang imefutwa (Terminated) inasemekana Luna vitu amekiuka ikiwemo copyright na wataalamu wa mitandao wanasema account ikishakuwa Terminated hakuna uwezekano wakuilidisha tena . Ingekuwa imehackiwa wangeiludisha ila kuwa Terminated dogo inabidi aanze upya

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Timu ya IT tunashuulikia hili swala
 
Nilitegemea ungewasifia wasafi
Hilo halina ubishi. Katika label inayozingatia mgawanyo wa majukumu kwa kuhakikisha kila kitengo muhimu kina kabithiwa kwa watu talented na wenye elimu basi ni WCB.

Kuanzia mameneja,wasanii, choreographers, directors, producers, media yao, wachambaji😂, yani kila mmoja yuko fire kuhakikisha lable inabaki kuwa juu siku zote.

Wakati huo, upande wa pili kuna mtu mmoja ambae yeye anajua kila kitu, kila majukumu anataka yeye ayafanye, lazima mambo yaende kombo.

Naungana na innocent dependent .
 
Franky Samuel Kwanza kabisa pole kea yaliyowakuta ila Kuendesha label Ni kazi ngumu ila huku kwetu wanafanya Kama sifa ikiwemo kuendesha kiuni kiuni ndio madhara yake hayo.Kwa hapa bongo label ambayo inaendeshwa kiweledi Ni WCB wale jamaa wamejipanga Wana Hadi wataalamu wa IT walienda shule kabisa ndio maana wanapata Mafanikio makubwa.
Yani lebo kama ile kutokua na IT ni shida kubwa ndo maan WCB yupo kimkyando Jamaa ndo amesomea na amekabidhiwa ulinz wa account zote za wcb
 
Kweli mnashuulikia. Ila kwa wataalamu wangeshughulikia

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Hapa ni sehemu ambayo siyo official.
Kwa hiyo haimlazimu mtu kuandika kwa lugha ambayo kisheria ya lugha atakua amekosea. This is a friendly forum. As long as what I write is understood It's fine.

Nikiandika shuulikia umeshaelewa ni shughulikia.
Ila kama naandika barua Official ya kuja kukuposa kwenu for sure itabidi niandike "shughulikia" ili nisije nyimwa mchumba.
 
Ukiondoa WCB Kwa kuwa Lebo makini inayofatia no Lebo ya shule yako kama ni secondary au msingi ndio Lebo kongwe Kwa hapa bongo toka nchi imeanza...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mzee baba dahhh
 
Hahahaha ma zero brain bana mnafurahia uchafu ...account ya ibraah ilikuwa ina matatizo sasa yanarekebishwa hahahaha mijitu yenye roho mbaya kama shetani
 
Back
Top Bottom