Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kuambiwa changanya na za kwako. Mfano nje ya mada, ungeambiwa Babu Seya atatolewa jela siku tatu baada ya kukataliwa rufaa ungekubali?Elimu yako babu... Umesha ambiwa terminated hairudi sasa wewe unasema IT mpo kazini duh
kalale DOGO kakurupushwa kuimba[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha ma zero brain bana mnafurahia uchafu ...account ya ibraah ilikuwa ina matatizo sasa yanarekebishwa hahahaha mijitu yenye roho mbaya kama shetani
Hata hajulikani wakat wasafi Wana kimkayndo professor na wasipokuwa makini hata Instagram account zao zitafutwaHivi wana IT?
Ni kweli IT hawana.Sidhani Kama watakuwa na IT wale.
Terminate maana yake ni kusitisha kwa muda tu. Ina maana hakuna ushahidi wa kuthibitisha kuwa mhusika ame-violate terms and conditions. Nimeonaga mara nyingi mitandaoni ukiwa terminated, pengine huwa inakuwa bahati mbaya tu, ukijitetea na ukathibitika hukukiuka T&C unarudishwa. Hata kigogo alikuwa terminated sio deleted. Ukiwa deleted means umekutwa na hatia.
Hata baba mwenye nyumba anakupa notice of intention to terminate the contract na si kufuta mkataba.
Wanaendesha mambo kienyeji Sana,walipaswa kuwa na mtu we a IT aliebobea katika maswala ya security,na Hilo ndo swala la msingi kwa mtu anaetumia technologia kama chanzo cha kujipatia kipato.Hata hajulikani wakat wasafi Wana kimkayndo professor na wasipokuwa makini hata Instagram account zao zitafutwa
Pruuu mpaka chini....
🤣🤣🤣🤣🤣
Numbisa Hakuna mtu anayelinganisha Kama una uwelewa mzuri ila wadau wanakosoa uwendeshwaji wa label yao wamekuwa wakienda kiuni uni bila kuzingatia weledi ndio maana wadau wanasema waige mfano kwa WCB na ukizingatia Konde boy ametokea WCB so tulitegemea kwa kuwa katokea WCB basi atakuwa baadhi ya vitu kajifunza ila kinachoendelea Ni utopolo mtupu na hiyo inafanya wasanii wake wasikuwe kimziki.We angalia mfano Zuchu hatua aliyopiga Ni kubwa Sana kwa muda mfupi imagine hata kwenye mauzo ya music kwenye audimark boomplay amepita mpaka Alikiba, amekuwa nominees kwenye tuzo 3 za kimataifa lakini angalia wasanii wengine ambao wapo kwenye label zingine Hali zao zikoje?Account ikirudi kuna watu watapata aibu humu. Kila siku wanasema konde label ndogo isiyofaa kulinganishwa nao ila hapa wapo busy kujilinganisha na konde aiseee
Numbisa Hakuna mtu anayelinganisha Kama una uwelewa mzuri ila wadau wanakosoa uwendeshwaji wa label yao wamekuwa wakienda kiuni uni bila kuzingatia weledi ndio maana wadau wanasema waige mfano kwa WCB na ukizingatia Konde boy ametokea WCB so tulitegemea kwa kuwa katokea WCB basi atakuwa baadhi ya vitu kajifunza ila kinachoendelea Ni utopolo mtupu na hiyo inafanya wasanii wake wasikuwe kimziki.We angalia mfano Zuchu hatua aliyopiga Ni kubwa Sana kwa muda mfupi imagine hata kwenye mauzo ya music kwenye audimark boomplay amepita mpaka Alikiba, amekuwa nominees kwenye tuzo 3 za kimataifa lakini angalia wasanii wengine ambao wapo kwenye label zingine Hali zao zikoje?