Mume na Mke hawawezi Fanya huu ujinga. Waasherati na Wazinzi ndio wafanyayo ya kujirekodi. Wacha wakomeshwe waache UzinifuUnauhakika amejirekodi???
Dunia ya leo unashindwa kujua kwamba kuna madawa ya kulevya?????
Wamarekani hawawez fanya kitu kama hcho ndugu.. wale hawana mihemko.. specialy kwa mwanamke.. sahau. Ndomana anajiamin.. tena anawatoto wa kimarekan. Ndo sahau kabisa.. nayeye analijua hilo... Wanaoweza fanya hvyo ni nchi za kishen.z tuYes tuendelee kumreport, mpaka USA immigration wa revoke her citizen ship and deport her miserable personality, slander sick body back to Tanzania ajibu tuhuma zake.
Binti mbona povu kama Mama mjane aliyedhulumiwa mali za urithi wa marehemu mumewe?Acha kuongea kama papasi mweupe juha wee. Mtu akitaka kuku record atafanya tu hata bila we kujua. Kwani Lemutuz alijua wakati anarekodiwa akiwa ametoka bafuni?
Unaonekana mwenye akili kumbe kiazi tu
Hata wewe Kama michezo yako ndio hiyo ya kurekodiwa wakati unaliwa ndogo, Ni suala la muda tu, mkanda wako utavujia mtandaoni. Usisahau "internet never forget".Umeongea kama pimbi maji papasi mweupe wee
Tatizo linaanzia kwa hao wanao jirekodi,kwanini ukubali kurekodiwa? Kwanini wapenzi wakigombana wana anza kuvujisha vdo clp zao? Huo ni udhaifu tu,
Sio kwamba namtetea huyo Mange bali mkiacha kujirekodi huyo Mange atapata wapi hizo connection?
Dunia ya leo kila kitu ni biashara,usimuamini mtu.
Mange ana akili sana tatizo siyo mange tatizo ni hao wanaokubali kurekodiwa hizo video
Sasa anayetia aibu hapa ni mimi au wewe? Hapa sijaongelea vdo clp za waliobakwa,wala sijamsapoti huyo mange anachokifanya,soma tena comment yangu na upunguze kua mpumbavu.Unatia aibu mkuu, ni sawa na kusema mwanamke alijitakia kubakwa kwa kua alivaa nguo iliombana. Kuvujisha faragha za watu bila ya ridhaa ya muhusika ni kosa kobwa sana kisheria na hata kijamii. ni kudhihirisha kuwa huna utu kabisa ndani ya roho yako.
Usitetee ushenzi ndugu.
wacha nimsaidie kukutukana.Mwanzo ulionekana mwenye akili kabla hujaingiza hizo pumba za kusema alimtukana magufuli. Kwani magufuli alikua nani asitukanwe na hawa wengine wana uhalali gani wa kutukanwa? Wao sio watu au. Pimbi maji wee
Hapa bongo hatarudi tena? Naona mnafikiria juu juu sanaWamarekan hawawez fanya kitu kama hcho ndugu.. wale hawana mihemko.. specialy kwa mwanamke.. sahau. Ndomana anajiamin.. tena anawatoto wa kimarekan. Ndo sahau kabisa.. nayeye analijua hilo... Wanaoweza fanya hvyo ni nchi za kishen.z tu
Mange siyo Citizen wa US.Yes tuendelee kumreport, mpaka USA immigration wa revoke her citizen ship and deport her miserable personality, slander sick body back to Tanzania ajibu tuhuma zake.
Etii what is her statusMange siyo Citizen wa US.
Atakuwa na green card.Etii what is her status
Mange Kimambi anaonekana ana tatizk la ubonga
Lakini Malaya Uwoya anaonekana ana haki.
Mjini unaishi maisha mazuri kuliko wanawake wenye elimu even PhD holders afu unajisifu kumbe UMALAYA tu afu watu hawamsemi wanakomaa na Kimambi