Nadhani twitet ni monetized ac so ni mchongoAmani kwako ndg mdau.
Kuna account naiona tweeter inaonekana haina hata wiki ni ya Baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere cha kushangaza naona imelipiwa as promoted account.
Sijaelewa ipo chini ya nani au imeanzishwa na kuendeshwa kwa makusudi gani..?.
View attachment 2280285
Kuna mdau humu anayefahamu malengo ya hii account?.
Mkuu, unachezea sana bahati. Utajuta.Hakukuwa na Tweeter wakati wa mwalim Nyerere, oh was there?
Nadhan tu watu wanatengeneza account kwa majina ya watu.
Nishawahi chat na Angelina Jolie online na kunitongoza kanitongoza na kunitumia picha yake akiwa hana bra. Sema mie sijatoka Rombo huko leo wa kitambo sana na gari za Meridian nikashtuka, hapa hakuna Angelina Jolie wala nini kuna tukio litanikuta so nikampotezea. .
Account ya baba wa taifa inakuwa na followers 86[emoji23][emoji1787][emoji1787] teh teh tehAmani kwako ndg mdau.
Kuna account naiona tweeter inaonekana haina hata wiki ni ya Baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere cha kushangaza naona imelipiwa as promoted account.
Sijaelewa ipo chini ya nani au imeanzishwa na kuendeshwa kwa makusudi gani..?.
View attachment 2280285
Kuna mdau humu anayefahamu malengo ya hii account?.
Dah!..Amani kwako ndg mdau.
Kuna account naiona tweeter inaonekana haina hata wiki ni ya Baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere cha kushangaza naona imelipiwa as promoted account.
Sijaelewa ipo chini ya nani au imeanzishwa na kuendeshwa kwa makusudi gani..?.
View attachment 2280285
Kuna mdau humu anayefahamu malengo ya hii account?.
Naona kipindi hicho unakuja mjini ulipanda rombo generationHakukuwa na Tweeter wakati wa mwalim Nyerere, oh was there?
Nadhan tu watu wanatengeneza account kwa majina ya watu.
Nishawahi chat na Angelina Jolie online na kunitongoza kanitongoza na kunitumia picha yake akiwa hana bra. Sema mie sijatoka Rombo huko leo wa kitambo sana na gari za Meridian nikashtuka, hapa hakuna Angelina Jolie wala nini kuna tukio litanikuta so nikampotezea. .
Wanae million 60 hawataki kumuunga baba mkonoAccount ya baba wa taifa inakuwa na followers 86[emoji23][emoji1787][emoji1787] teh teh teh
Wanae million 60 hawataki kumuunga baba mkonoAccount ya baba wa taifa inakuwa na followers 86[emoji23][emoji1787][emoji1787] teh teh teh
Kuna jamaa anamiliki hotel na mabaso mashati anaitwa TilishoNaona kipindi hicho unakuja mjini ulipanda rombo generation
Siku hizi imetupwa pale mashati
Mmiliki ni nan??
Hata wakati 2pac na akina Bob Marley wanafariki twitter haikuwepo ila leo zipi account zao ambazo ni verified (blue tick)Hakukuwa na Tweeter wakati wa mwalim Nyerere, oh was there?
Nadhan tu watu wanatengeneza account kwa majina ya watu.
Nishawahi chat na Angelina Jolie online na kunitongoza kanitongoza na kunitumia picha yake akiwa hana bra. Sema mie sijatoka Rombo huko leo wa kitambo sana na gari za Meridian nikashtuka, hapa hakuna Angelina Jolie wala nini kuna tukio litanikuta so nikampotezea. .
Kweli kuna account nyingi za michongo siku hizi. .Hata wakati 2pac na akina Bob Marley wanafariki twitter haikuwepo ila leo zipi account zao ambazo ni verified (blue tick)
Nikirudi kwenye mada, hiyo account ya baba wa taifa ni ya mchongo