Account za Benki za Mange Kimambi zazuiliwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Haswaaaaaah yaaan.
 
Lakini ujue kama hujui mimi ni basha mzuri sanaa tena fundi mnoo nimebobea kwa walopofu nawapa vidonge havii nikuambie tu jina chokodari muulize mkenya yoyote atakupa jibu, au google kama utabahatika kupata maana yake
Njoo Tanga kama utakatiza bilabila
 
Ndio mtazamo wako hafifu!
 
Nilimwambia huyu dada ingawaje ni nadra Sana mm kukoment kwny mapage ya udaku issue ya prof jay karma itafanya kazi yake yy badala ya kuomba msamaha akaanza kuwananga chadema eti oooh kisa nimewahama nipo kwa mama kasahau prof jay ni mtu asiyeendekeza mavyama na ni mtu poa sasa acha yampate
 
nilijua tu watafanya hivyo walivyofanya,tatizo mitanzania mingi haijui kutumia cryptocurrencies kama btc angeweka option ya btc akaendeleza kazi yake ya uchambaji
Wew kilaza kweli yani ukute ata ni mzazi wa mtoto dah majanga kwa mwanao ..yani ulipe bitcoins sababu ya uyo mbwaajike mange ?? Eeeeh ??
 
NAONA UNA ANZA KUTENGENEZA KESI MPYA, ZA SHILLA NA WAZAZI WAKE SIJUI.
MARA UNARUDI NA AGENDA ZA LISSU WALIVYOPIGWA RISASI
MARA UNAOMBA USAIDIZI TOKA KWENYE CHAMA.

UKWELI NI KWAMBA KILA MTU YUKO HURU KUONGEA, KUSIKIA ,KUANDIKA NA KUSOMA ANACHO TAKA LAKINI KILA KITU KINA MIPAKA.
OMBA RADHI KWA KUSAMBAZA ILE VIDEO YA MGONJWA AKIWA ICU. HIVYO TU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…