Acha kuishi kwa hofu na wenge, kapime ujue afya yako

Acha kuishi kwa hofu na wenge, kapime ujue afya yako

Acha Hofu na Wenge kapime ujue afya yako...

Kwa kipindi Cha miaka miwili nimekuwa nikiishi kwa Hofu na kujichukulia kama mwathirika HIV aka ukimwi aka Ngoma aka umeme utaongeza aka nyingine...
Mkuu ni jambo la kumshkuru mungu ss amekupa nafac nyengine itumie vzr
 
Back
Top Bottom