heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.
👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.
👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida
👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa
👉🏿Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.
👉🏿Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi
ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;
👉🏿 Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao
👉🏿 Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k
👉🏿Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda
👉🏿Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama
👉🏿Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k
👉🏿Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi
Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa
Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.
👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida
👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa
👉🏿Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.
👉🏿Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi
ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;
👉🏿 Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao
👉🏿 Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k
👉🏿Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda
👉🏿Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama
👉🏿Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k
👉🏿Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi
Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa
Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com