Acha kulalamika vifurushi kupanda, anza kuwa na data plan

Acha kulalamika vifurushi kupanda, anza kuwa na data plan

PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

👉🏿Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

👉🏿Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

👉🏿 Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

👉🏿 Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

👉🏿Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

👉🏿Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

👉🏿Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

👉🏿Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Naona unaponda sana vichekesho.

Nikwambie tu hatutacha kuangalia vichekesho. Maisha hayako serious hivyo unachotaka yawe.

Kila kitu na wakati wake.
 
WaTZ wengi wapiga kelele wafuata mkumbo...
Achana Nao.
 
Ina maana ukifanya hayo MB zinaongezeka
au zinakwenda taratibu?.....Au kasi data inakuwa nzuri?
.....no mambo mazuri sana Mkuu ila hayo siyo tatizo letu.
Tutaendelea kulalamika tu.
 
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

[emoji1542] Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

[emoji1542]Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

[emoji1542]Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

[emoji1542]Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

[emoji1542]Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

[emoji1542] Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

[emoji1542] Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

[emoji1542]Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

[emoji1542]Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

[emoji1542]Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

[emoji1542]Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Sasa mada yako inasema ni kupunguza matumizi ya data lakini unasema tufanye ambavyo bado vitatumia data,mada siyo mbaya ila umeikosea na utupishe sisi wa movie za Hollwood
 
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

👉🏿Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

👉🏿Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

👉🏿 Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

👉🏿 Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

👉🏿Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

👉🏿Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

👉🏿Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

👉🏿Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Yani mwenyewe unaona umeongea jambo la msingi sana, poor reasoning
 
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

[emoji1542] Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

[emoji1542]Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

[emoji1542]Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

[emoji1542]Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

[emoji1542]Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

[emoji1542] Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

[emoji1542] Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

[emoji1542]Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

[emoji1542]Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

[emoji1542]Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

[emoji1542]Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Shida akili zenu zineshikiwa kwenye video, social networks, entertainment upumbavu mlio nao.....

Wengine tunapigania kuwa tunatumia system ambazo zinaendesha maisha yetu ndani ya taasisi zetu na zinakula MB sana....

Kama ukiiwasha tu ndani ya dakika 15 au 20 inakula 1G na tulikuwa tunaipata kwa 1000 je, itanibidi nitumie 9000 kila siku kununua kifurushi!

Sasa nyie na huyo mtu wenu mkahisi wote huwa wanamfuatilia huyo mtu wenu, kamwe huwezi kuzuia kusemwa, kuzuia technology hata mara moja.....

Mnalotakiwa kufanya hakikisheni mnatoa haki,mnajali utu,punguzeni ubabe punguzeni matamko na tuijenge nchi yetu......

Mbona Jk alisemwa sana na hakufikiria kuzima au kuharibu mawasiliano ya watu? Kwanini ni ninyi tu? Punguzeni ulimbukeni kuna leo na kesho ikitokea umeondoka watu watashangilia badala ya kuhuzunika
 
At least Watz wajue bundle ni ghali.
Mtu anakutumia video 50 mbps asee sikua nafungua.
Niligundua kumbe mnapewa vifurushi cheap sana.
Nilipo 2000 tsh 500mb.
 
Wafanyabiashara wameanza kujaa viburi tunarudi kwenye enzi zile
 
At least Watz wajue bundle ni ghali.
Mtu anakutumia video 50 mbps asee sikua nafungua.
Niligundua kumbe mnapewa vifurushi cheap sana.
Nilipo 2000 tsh 500mb.
Mkuu unafurahia? ..unafahamu Tz ina watu masikini choke mbaya milioni kumi na nne?....Khaaa..
 
Mkuu unafurahia? ..unafahamu Tz ina watu masikini choke mbaya milioni kumi na nne?....Khaaa..
Sifurahii hata kidogo,na hakuna Taifa halina maskini tunazidiana tu.
Sasa makampuni ya simu yaendeshe biashara kwa hasara kuwafanya wananchi waskie vizuri?
 
Kwa hiyo Wananchi waumie ili makampuni yajiendeshe kwa faida?
Tunachokilalamikia ni kupata buffer zone
Sifurahii hata kidogo,na hakuna Taifa halina maskini tunazidiana tu.
Sasa makampuni ya simu yaendeshe biashara kwa hasara kuwafanya wananchi waskie vizuri?
 
Pia badala ya mda wote kushinda na simu, jitahidi kufanya shughuli ndogondogo hapo nyumbani. Kama kulima lima bustani, kung'olea majani kuzunguka nyumba, usafi wa mazingira, pruni miti, nk. Pia unaweza kutumia mda wako kufanya mazoezi kama jogging, kutembea nk. Pamoja na kukusaidia kupunguza matumizi ya bando, pia utakua unaimarisha afya na kujiepusha na punyeto.
🤣🤣🤣punyeto haiepukiki kizembe hvyo.
 
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

[emoji1542] Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

[emoji1542]Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

[emoji1542]Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

[emoji1542]Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

[emoji1542]Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

[emoji1542] Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

[emoji1542] Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

[emoji1542]Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

[emoji1542]Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

[emoji1542]Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

[emoji1542]Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Ushauri mzuri ndg ila umeandika kama commands unafoka [emoji1787][emoji28]
 
Akili ya mtu mweusi utaijua tu. Ww una unaona matumizi ya internet ni anasa?
Akiingia mtandao akiangalia anachotaka ww inakusaidia nn?
Kila siku napaswa niweke video 10 Youtube na post 5 kwenye blog. Hiyo ni blog 1 bado zingine zinatakiwa zilishwe
video kumi kwa siku 😳 ,video za aina gani hizo boss?
 
PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA.

👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote.

👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida

👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya xx,magroup ya gossips, magroup ya siasa

👉🏿Punguza na achana na WhatsApp video call zisizo na msingi,sijui kunyegezana &kukojozana n.k yasio msingi.

👉🏿Acha kupost punguza kupost na ku VIEW video status zisizo maana mfano nyimbo,gossips, Post biashara zako na picha za kujenga na quotes za msingi

ANZA KUFANYA YENYE TIJA KAMA HAYA;

👉🏿 Dowload pdf books za kufundisha na kujenga upate marifa hata ya kuwapa wajukuu na wanao

👉🏿 Kuwa bussy kiasi katika mitandao yenye kujenga na kutatua changamoto na kuhabarisha vitu vya uhakika mfano. #JamiiForums,NASA,TRADING FACTORY, Entreprenure forums n.k

👉🏿Tafuta free online course jifunze kwa bando ilo ilo upate maarifa sio kupoteza muda

👉🏿Tazama youtubes video za kujenga na kuongeza maarifa kichwani Fanya udanload tena kwa lowa quality ili wakati huna bundle uwe unatizama

👉🏿Anza biashara za mtandaoni kama Affitlate marketing,Dropping shipping,FOREX&STOCK, n.k

👉🏿Kuwa busy na mambo ya msingi tu,mtu huna hela muda wa kuanza kutizama vichekesho na ukacheka unaupata wapi

Kama unakipato basi huwezi lalamika
NB.Fanya upendacho kwa manufaa yako na taifa

Wako ktk ujenzi wa taifa email
godimpare2@gmail.com
Mkuu kwako gosiple haina maana, hebu usiforce tufanane
 
Back
Top Bottom