Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Acha kuwa na wasi wasi sana na mambo yaliyotokea huko nyuma katika maisha yako au ambayo yanayo kuja huko mbeleni
Usiyape kipaumbele na vuta pumzi ndefu,ishi wakati uliopo sasa na kuwa mwenye shukrani kwa wakati ulionao na ulipo sasa
Mda huu ndio ambao tunao,kwahiyo sahau mambo kama ingekuwaje au itakuwaje,kubaliana na yaliyo tokea na tambua yameshapita ishi kwa wakati uliopo nao sasa
Kumbuka tunaishi mara moja na tuna bahati kuwa tupo hai
Ni hayo tu!
Usiyape kipaumbele na vuta pumzi ndefu,ishi wakati uliopo sasa na kuwa mwenye shukrani kwa wakati ulionao na ulipo sasa
Mda huu ndio ambao tunao,kwahiyo sahau mambo kama ingekuwaje au itakuwaje,kubaliana na yaliyo tokea na tambua yameshapita ishi kwa wakati uliopo nao sasa
Kumbuka tunaishi mara moja na tuna bahati kuwa tupo hai
Ni hayo tu!