Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hii ni kweli kabisa mkuu, hukuna wa kuja kukusaidia kuishi maisha yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaKulaumu hakubadilishi mambo kuwa mazuri. Bahati mbaya sana watanzania tunapenda sana kulaumu. Kwa mfano: hatupaswi kulaumu serikali bali tunatakiwa kutumia haki yetu kuiondosha madarakani pale inaposhindwa kutumiza majukumu na kama inatumia ulaghai wa kuiba kura, na sisi tutumie nguvu kuwaondoa.
Mazingira wezeshiKila mtu anawajibika na maisha yake ila kuna mazingira wezeshi, usipofanikiwa kukutana nayo ni lazima mambo yatakuwa magumu🤣 hapo ndipo mtu anaonekana mpumbavu anapolalamikia mazingira wezeshi.
Hakika, nimeshalaumu sana ila nimejifunza ni tabia ya kijingaKwamba wewe hujawahi kulaumu?
Hata wanawake waache, mwanamke asilalamike mwanaume wake kuchepuka, bali akae chini na kujiuliza kwa nini anachepuka, akigundua mwanaume ni tabia yake na yeye hawezi kuendana na hiyo tabia anapaswa kujistaafisha kwenye hayo mahusiano. Lawama hazihitaji maana huyo mwanaume hakutafutiwahiyo ni kwasisi wanaume tu!.
Unajisikiaje unaposoma uzi huu?Be specific whom are you referring or targeting ? ( Audience)
Noted, hii nitaitunza kichwaniHii ni kweli kabisa mkuu, hukuna wa kuja kukusaidia kuishi maisha yako.
Ingia mwenyewe barabarani kwasababu wewe ni masikini wenzio sisi sio masikini tunafurahia nchiNakubaliana na wewe 100%. Kwa mfano sasa hivi, tuache kuilaumu CCM na tuingie barabarani kuiondosha kwenye madaraka kwa sababu inazidi kuleta umaskini.
Ishi nayo hiyo na ukipata nafasi ya kumshauri mtu kuhusu maisha mwambie na hilo.Noted, hii nitaitunza kichwani
Jiongelee mwenyewe, huyo tajiri mwenzako umeongea naye saa ngapi?, by the way hakuna tajiri anayesema kuwa ni tajiri.Ingia mwenyewe barabarani kwasababu wewe ni masikini wenzio sisi sio masikini tunafurahia nchi
Huo umasikini upo kwenye ukoo wenu sisi kwenye ukoo wetu sio masikini barabarani ingia wewe na ukoo wako ambao ni masikini msiongelee wengineJiongelee mwenyewe, huyo tajiri mwenzako umeongea naye saa ngapi?, by the way hakuna tajiri anayesema kuwa ni tajiri.
Vp na wale wanaolamu chama cha siasa ...kuwa wako hapo kwa sababu ya hiko chama🤔🤔Leo tunakuzwa katika misingi ya kujitetea na kukwepa kuwajibika karibu katika kila eneo. Hatujifunzi na hatutaki kukubali kuwa tunapaswa kuwajibika asilimia mia moja juu ya maisha yetu na badala yake tunawatafuta wa kuwatupia lawama.
Ni kweli yapo mambo mengi yanayoweza kutokea nje ya uwezo etu ila hayaondoi wajibu wetu juu ya maisha yetu. Hatuwezi kuizuia mvua kunyesha ila tunaweza kukwepa au kujilinda mvua isituloweshe.
Mchezo wa lawama " blame game" ni mchezo wa wasiopenda kuwajibika juu yao. Ni mchezo wa kujiliwaza na kuhamishia majukumu yako kwa wengine kana kwamba na wao hawana majukumu yao. Unayemlaumu na yeye analaumu.
Umasikini na uzembe mkubwa umejificha kwenye mchezo wa lawama. Mduara mzima wa umasikini na uzembe kivuli chake kikuu na faraja yake ni lawama. Lawama hutuaminisha kuwa yupo aliyepaswa kuwajibika juu yetu na siyo sisi "anayetusaidia kuishi maisha yetu"...ah!..ah...
Lawama humfanya mtu kujiona yupo sahihi sana "malaika"'ila wengine ndiyo wanaomkosea na kumfanya kuwa alivyo. Ukweli unaouma ni kuwa "tupo tulivyo kwa sababu tunataka haswa kuwa hivi tulivyo". Hakuna lugha rahisi zaidi ya kuumiza Ili kumfanya mtu kuona uchungu juu ya hali yake na kuchukua hatua.
"You are the master of your life"
Mchezo wa lawama haukosi sababu ndugu, unakupa liwazo na pumbazo la kutosha unajisahau kuishi maisha yako unabaki na bila fulani ningee.... bila Chama X ningee..... mwisho wa siku "it is too late to catch the train".Vp na wale wanaolamu chama cha siasa ...kuwa wako hapo kwa sababu ya hiko chama🤔🤔
HakikaUkweli mchungu. Tumebaki kulaumu mifumo tuliyoikuta bila kufanya mabadiliko (kupambana).