MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwa wakati huu wakati taifa linakabiliwa na tatizo kubwa la kukosa maadili kumetokea pia namna nyingi za shetani na wafuasi wake kuwakatisha tamaa wale wote wanaopigania maadili mema. Imefikia wakati mtu ambaye anashauri kuhusu mwenendo mzuri kwenye jamii kudhalilishwa na kuonekana mjinga na fukara. Hii kauli ya "ACHA MAKASIRIKO TAFUTA HELA" imepata umaarufu mitandaoni na nje ya mitandao katika kuwapuuza wale wote wanaotaka jamii iwe na maadili mema.
Kwa mfano kwa sasa kuna idadi kubwa ya watu maarufu hasa wasanii wanaofanya mambo ya aibu ila akitokea mtu kwenye platforms zao za mitandaoni kuonyesha kupinga badi hushambuliwa na mashabiki wa msanii husika. Hata kwenye familia ambazo sio maarufu utakuta mama kajiachia hovyo hovyo mbele ya watoto wake wa kiume lakini ukitaka kukemea kuna mawakala wa shetani hujitokeza na kukuambia "acha makasiriko tafuta hela" na wengine husema "ACHA KUPANGIA WATU NAMNA YA KUISHI"
Ninachoweza sema ni kuwa hela imekuwa ikitafutwa kwa maelfu ya miaka iliyopita hadi leo lakini haiwezi kuwa sababu ya kukiharibu kizazi hiki kwasababu ya kutafuta hela. Ninashauri pia wanaofanikiwa kupata hela nyingi wazitumie katika namna sahihi na isiwe katika namna ya kuiharibu jamii.
Kwa mfano kwenye haya mambo ya ushoga ukiuliza ni nani huwaingilia hawa vijana mara nyingi jibu huwa ni mtu fulani mwenye hela kama kigogo serikalini, wanasiasa, wafanndyabiashara na matajiri wengine''. Lemutuz alishawahi post huko Insta kuwa kuna Kigogo wa zamani alioa mwanaume mwenzake.
Tafadhalini watanzania tutafute hela na maadili tuyalinde. Pesa iwe baraka na isiwe chanzo cha laana.
Kwa mfano kwa sasa kuna idadi kubwa ya watu maarufu hasa wasanii wanaofanya mambo ya aibu ila akitokea mtu kwenye platforms zao za mitandaoni kuonyesha kupinga badi hushambuliwa na mashabiki wa msanii husika. Hata kwenye familia ambazo sio maarufu utakuta mama kajiachia hovyo hovyo mbele ya watoto wake wa kiume lakini ukitaka kukemea kuna mawakala wa shetani hujitokeza na kukuambia "acha makasiriko tafuta hela" na wengine husema "ACHA KUPANGIA WATU NAMNA YA KUISHI"
Ninachoweza sema ni kuwa hela imekuwa ikitafutwa kwa maelfu ya miaka iliyopita hadi leo lakini haiwezi kuwa sababu ya kukiharibu kizazi hiki kwasababu ya kutafuta hela. Ninashauri pia wanaofanikiwa kupata hela nyingi wazitumie katika namna sahihi na isiwe katika namna ya kuiharibu jamii.
Kwa mfano kwenye haya mambo ya ushoga ukiuliza ni nani huwaingilia hawa vijana mara nyingi jibu huwa ni mtu fulani mwenye hela kama kigogo serikalini, wanasiasa, wafanndyabiashara na matajiri wengine''. Lemutuz alishawahi post huko Insta kuwa kuna Kigogo wa zamani alioa mwanaume mwenzake.
Tafadhalini watanzania tutafute hela na maadili tuyalinde. Pesa iwe baraka na isiwe chanzo cha laana.