Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hizo sura zao sasa πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sura zao sasa πππ
Pia hii kauli imekuwa maarufu sana ππ... mimi nina watu wangu maalum ambao nimejiambia lazima niwashauri na kuhakikisha ushauri wangu unafuatwa kwasababu wakiwa wamepigika wanakuja kwangu.Punguza ushauri watu wanamipango yao tayari. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wenye hela wanatuhumiwa mno kuwala vijana wa kiume.
A ha kuwachafua marais watarajiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye mtandao nimekutana na hii:
"TAFUTA PESA MOROGORO
SIO SEHEMU YA KUISHI
NI PARKING YA ABOOD"
Nakazia.Tafuta hela acha manung'uniko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ukute anayoongea hiyo kauli ni Aristotlee mzee wa vikao
Halafu wewe Cocastic nimefikiria sana nimeona wewe ni wife material... mwanamke kamili lazima awe mbea. Nilifikiria nitafute manzi dizain ya Mama Tibaijuka, Mama Makinda au Spika kijana Tulia nikaona nitaboreka sana... tutakuwa tunaongelea mambo ya maendeleo kwenye ukanda wa SADC na tukibadili mada ni kuzungumzia mpango wa kilimo nchini kufikia 2030. Itakuwa huzuni sana. Hata kwenye tendo style ni missionary tu... Ila wewe Cocastic utakuwa unafit pande zote.... kiukweli utanifaa...Kwani uongo??
Acha makasiriko tafuta pesa,
Acha kupangia watu namna ya kuishi.
Watu weuweeeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu sema kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wewe Cocastic nimefikiria sana nimeona wewe ni wife material... mwanamke kamili lazima awe mbea. Nilifikiria nitafute manzi dizain ya Mama Tibaijuka, Mama Makinda au Spika kijana Tulia nikaona nitaboreka sana... tutakuwa tunaongelea mambo ya maendeleo kwenye ukanda wa SADC na tukibadili mada ni kuzungumzia mpango wa kilimo nchini kufikia 2030. Itakuwa huzuni sana. Hata kwenye tendo style ni missionary tu... Ila wewe Cocastic utakuwa unafit pande zote.... kiukweli utanifaa...
Unajitesa sana Mkuu, ππ samahani lakini πππPia hii kauli imekuwa maarufu sana ππ... mimi nina watu wangu maalum ambao nimejiambia lazima niwashauri na kuhakikisha ushauri wangu unafuatwa kwasababu wakiwa wamepigika wanakuja kwangu.
ππππππ ni kweli jomba.Unajitesa sana Mkuu, ππ samahani lakini πππ
Maisha mafupi sana haya, bora upambanie kipande chakoππππππ ni kweli jomba.