Acha matokeo yaongee inahitaji jasho, machozi na damu na kujitoa mhanga kuleta matokeo na si vinginevyo

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
kuna watu nawashangaa sana wanafikiria kutengeneza matokeo yanayoteka mioyo ya watu huwa ni suala la kukurupuka tu ety na mm nataka nifuate ya kwangu haiwezekani

kuna watu waliletwa Duniani kutengeneza njia ili wengine wazifuate

ukijifanya na wewe utengeneze za kwako huku ukiwa hauna uwezo matokeo yake unaharibu

Ndio maana leo Watu wanasoma theory za akina Newton watu wanazifuata leo
 
Kwa hiyo zile theory za Newton, zote zimegharimu jasho, machozi na damu?

Ina maana Newton alikuwa akilia akiandika hizo theory huku akivuja jasho na damu??

Mhmhhm mhmhmhmh
 
Kabisa. Mfano mzee Magu. Hakuanza kupendwa kipindi akiwa Rais ra hasha! Toka akiwa waziri Jiwe alikuna mioyoni mwa watu wengi na alivyoamua kuwa Rais wengi walimuunga mkono. Jamaa alishatengeneza namna yake ya kuongoza kwamba havumilii uzembe. Leo anakuja anazani anaweza badilisha kirahisi rahisi tu kazi aliyoifanya huyu mwamba?
 
Kichwa cha Uzi na habari havina muunganiko! Sahihisha ujumbe wako.
 
8 Mei 2021 bado tunajitambulisha kwa majirani kuwa sisi ni "WAPANGAJI WAPYA!"....ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya 6, akaona kila alichoumba ni chema machoni pale......"
 
Mataga unaweweseka kweli kweli. Pata maji upunguze hasira.
 
Magufuli alidanganya taifa... eti atcl inapata faida kumbe wizi mtupu..
 
Mpaka huu mwaka uishe utakuwa umeshapata wendawazimu kwa stress. Mama bado yupo sana
 
Kwa hiyo zile theory za Newton, zote zimegharimu jasho, machozi na damu?

Ina maana Newton alikuwa akilia akiandika hizo theory huku akivuja jasho na damu??

Mhmhhm mhmhmhmh
Theory hizo zimegharimu maisha ya watu wengi nikukumbushe tu gallileo gallilei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…