October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Unajikanyaga then unalia unasema mengi alitafuta mtaji tu then akasepa kwenye hiyo fani yake sio.Umepoteza pesa zako bure kusoma huko kwingine hujasomea unafanya kibabaishaji tu.Waganda na Wakenya wakisomea ualimu Kama wewe wanaungana mfano wewe umrsomea ualimu wa masomo ya sayansi unaungana na waliosomea masomo ya Arts mnatafuta majengo ya kupangisha mnafingua Shule wamiliki ninyi wenyewe na walimu ninyi wenyewe
Mwalimi kwenda kuwa DJ Ni mis allocation of resources.Elimu Kazi yake kunoa talent yako kwenye eneo husika .Sasa wewe na u DJ si unababaisha tu huko.
Mengi alianza Kama mhasibu akajenga capital huko ndio akaanza kuanzisha biashara zingine kwa kutumia wataalanu waliosomea maeneo husika.
Kwa mwalimu kuanza na entertainment business Ni kuanza maisha kwa mguu wa kushoto.Ungekuwa ulisomea ualimu wa muziki nikupongeza kuwa uko sahihi.Lakini Kama umesomea mengine.na unaanza biashara ya KU burn CD na kuingiza nyimbo kwenye simu za watu hapo hapajakaa vizuri
Mkuu nielezee nimepotezaje pesa while I Chase Money Here kwako kupoteza pesa kunamaana gani labda nikufanya ulichosomea huku unakufa njaa labda not serious.
Una story yoyote ya walifanikiwa kwa kufanya walichosomea then nitakuletea story 100000 za walopiga take walichosomea na kutusua unazani JeffBezos kasomea finance, Mengi kasomea Habari, Viwanda nk.
Hawo waganda unaowasema wanamafanikio gani mbona mimi siwajui.
Unaposema kibabaishaji unamaanisha nini.
Uwezi jiita Enterprener alafu unajifunga na elimu yako wewe huna tofauti na mtumishi tu nani alikulazimisha kwakuwa wewe mwalimu uanzishe tuition nasii kiwanda cha juisi.