Mjomba kwenye miaka ya 70 alipata safari ya masomo nchini Urusi,kipindi hicho alikuwa na miaka 25 hivi,.akiwa kule alikuwa kila jpili anakwenda kwenye makanisa kuabudu mungu wake lkn alikuwa anajikuta kijana yupo peke yake kanisa zima,warusi wakawa wanamshangaa sio kwa sababu ya rangi yake bali kwa umri wake wakawa wanamuuliza kama anatatizo lolote,.ujue ni nadra sana kumkuta kijana makanisani kwenye miaka ile sijui kwa sasa,yeye alikuwa anawajibu kuwa hana tatizo lolote,.
Siku moja wazee wa kanisa ikawabidi wamuwekee kikao ili wamuhoji,akaitwa jmosi moja usharikani na kumuhoji sana baada ya kuridhika kuwa hana tatizo bali ni utamaduni ambao huku kwetu ndo tumeuzoea,.wazee wale wakamuambia kuwa,.kawaida wao kule huenda kanisani kutubu kwa madhambi waliyoyafanya kipindi cha ujana wakati wanatafuta,.
Wakamuambia kuwa kijana katika kutafuta unaweza kukutana na mambo mengi sana ya hatari ambayo wengine wanadiriki kuua bila kukusudia ilimradi kupata,kupokea rushwa,kuiba,kudhurumu kwa mtindo wa viji NGO'S,.wakamuambia tafuta hela kwanza kwa staili yoyote ile then njoo utubu kwa kutoa sadaka uzeeni,.
ROZI MUHANDO AMEIMBA''UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO....UNAJIROGA MWENYEWE''jamaa aliogopa kuona wazee wa kanisa wanamshauri aache kwenda kanisani kwa umri wake ule bali akatafute alafu aje uzeeni,kwetu ni tofauti.,kabisa ni tofauti,.kuna vitabu huku mitaani vimeenea vinapumbaza watu hasa vijana,utasiki ,THINK BIG,.GET RICH, BE A BIG MONEY MAKER,Na vingine,.ukisoma utasikia...fumba macho na sema ,,NITAFANIKIWA MARA 24,KAA SEHEMU TULIVU NA ANGALIA JUU NA SEMA ''YES I CAN WIN'' Na upuuzi mwingine humo,.
Ndg life is not so simple just like what these books say,.kimbiza mtaani hacha kusema nitafanikiwa uku umekaa chumbani umefumba macho,hayo ni mambo ya imani kwenye nyumba za ibada ndo maana wale wazee wakamuambia mjomba toka kanisani acha biblia nenda mitaani kimbiza life is not from the church but from the street,.hebu hii haihitaji elimu,fuatilia matajiri au watu waliofanikiwa kama walikuwa wanavisoma hivi vijitabu vya uongo vinavyokopy maneno kwenye biblia na kuja kuwatia uvivu watu,.achana navyo tafuta kitabu cha,.RICHDADY POORDADY hiki ndo kitabu kinakupambinu zote sio za kukaa kivulini na kusali,.NENO ''TAFUTENI NANYI MTAPATA''Linatosha kuwa sara,,unapotafuta ndio kumheshimu Mungu kwani umetekeleza neno lake..
Siku moja wazee wa kanisa ikawabidi wamuwekee kikao ili wamuhoji,akaitwa jmosi moja usharikani na kumuhoji sana baada ya kuridhika kuwa hana tatizo bali ni utamaduni ambao huku kwetu ndo tumeuzoea,.wazee wale wakamuambia kuwa,.kawaida wao kule huenda kanisani kutubu kwa madhambi waliyoyafanya kipindi cha ujana wakati wanatafuta,.
Wakamuambia kuwa kijana katika kutafuta unaweza kukutana na mambo mengi sana ya hatari ambayo wengine wanadiriki kuua bila kukusudia ilimradi kupata,kupokea rushwa,kuiba,kudhurumu kwa mtindo wa viji NGO'S,.wakamuambia tafuta hela kwanza kwa staili yoyote ile then njoo utubu kwa kutoa sadaka uzeeni,.
ROZI MUHANDO AMEIMBA''UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO....UNAJIROGA MWENYEWE''jamaa aliogopa kuona wazee wa kanisa wanamshauri aache kwenda kanisani kwa umri wake ule bali akatafute alafu aje uzeeni,kwetu ni tofauti.,kabisa ni tofauti,.kuna vitabu huku mitaani vimeenea vinapumbaza watu hasa vijana,utasiki ,THINK BIG,.GET RICH, BE A BIG MONEY MAKER,Na vingine,.ukisoma utasikia...fumba macho na sema ,,NITAFANIKIWA MARA 24,KAA SEHEMU TULIVU NA ANGALIA JUU NA SEMA ''YES I CAN WIN'' Na upuuzi mwingine humo,.
Ndg life is not so simple just like what these books say,.kimbiza mtaani hacha kusema nitafanikiwa uku umekaa chumbani umefumba macho,hayo ni mambo ya imani kwenye nyumba za ibada ndo maana wale wazee wakamuambia mjomba toka kanisani acha biblia nenda mitaani kimbiza life is not from the church but from the street,.hebu hii haihitaji elimu,fuatilia matajiri au watu waliofanikiwa kama walikuwa wanavisoma hivi vijitabu vya uongo vinavyokopy maneno kwenye biblia na kuja kuwatia uvivu watu,.achana navyo tafuta kitabu cha,.RICHDADY POORDADY hiki ndo kitabu kinakupambinu zote sio za kukaa kivulini na kusali,.NENO ''TAFUTENI NANYI MTAPATA''Linatosha kuwa sara,,unapotafuta ndio kumheshimu Mungu kwani umetekeleza neno lake..