Achague kozi ipi kati ya Bachelor of Medical lab na Architecture

Achague kozi ipi kati ya Bachelor of Medical lab na Architecture

1.alikuwa na division ngapi
2.Kipindi alikua ana apply architecture alikua anafikilia nini?
1.Alkua na one point 8

2.first selection aliwek md ila system ulikua unaitaj atleast course mbili so akajaz na architecture
 
1.Alkua na one point 8

2.first selection aliwek md ila system ulikua unaitaj atleast course mbili so akajaz na architecture
Kama malengo yakeni Md kwa 1 ya 8 aombe second round Cuhas au kcmc aachane na hivyo vingine
 
Habari zenu ndugu yangu amechaguliw kusom bachelor of medical lab muhimbil na bachelor of architecture udsm kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
Akasome Medical lab, hatajuta.

Ni nzuri. Kwanza akimaliza Miaka mitatu, anaenda Intern mwaka mmoja (atalipwa 80% ya Mshahara wa muajiriwa wa hiyo level serikalini kwa kila mwezi mwaka mzima)

Hapo atakuwa amejipanga, na mtaji,Connections...Ajira pia zipo.
In short hawezi lala njaa.

Atafurahi.
 
Pale ukweli unapochoma sawa sawa,kauli za kukata tamaa na laana ndio kama hizi

Hakuna kitu kinaitwa "ushauli",still unarudia rudia upumbavu

ndio maana ubongo wako ni wa hovyo unashindwa ku make your own decisions mpaka uletee wenye ubongo kuomba msaada wa kufikiria na kufanya decisions

Yaani huna ubongo kiasi cha kukutosha kuendesha maisha yako na kufanya maamuzi muhimu kwa ajili ya maisha yako mpaka uje kuomba "ushauli" humu?

Inaonesha ubongo wako ni kweli ni wa hovyo,haukutoshi wewe mwenyewe mpaka tena uje kuomba bongo za wengine zijazie

Kwa aina yako ya ubongo hutakaa uweze kujua tofauti ya "r" na "l"....never!
Ubongo sio wa hovyo. Inategemea mtu kakulia ukanda upi maana mwingine anaona anaongea sahihi ila kwako unaona kakosea. Sio vizuri kuuita huo ni upumbavu.
 
Hapana dada

Unakosea kabisa

Ndio maana tuna standardized Kiswahili

Sio kila mtu anakuja na Kiswahili chake kwendana na anakotoka,thats not an excuse

Pili,unakosea pale unaposema "anakotoka"..Tunakusamehe unakotoka iwapo ni kuongea pekee yake kwa kinywa ila sio "kuandika"

Kuandika kwa maandishi haisameheki kabisa

Ni kama likiswahili libovu la Mgufuli halafu aandike the same way,hasameheki!

Kiswahili basi insha atapata 0 kila siku

Hakuna mwalimu wa Kiswahili anasamehe makosa ya kisarufi au kiuandishi,hakuna!
Sawa ndio maana kiswahili wapo wanaopata F japo ndio lugha mama. Mimi kiswahili nilipata Karai zuri tu. Mambo ya sarufi na blahblah nyingine sio kila mtu anaweza endana nazo. Watu wengi wanaoshindwa r na l hata kuongea ni hivyo.
 
Shida nini? Mbona system ya online login ya muhas inasema incorrect password au Mimi tu
 
Kwahiyo you are proud of being poor Swahili speaker?

Tangu lini tumeanza ku-sanitize na incentivize mediocrity?

Yaani mtu Kiswahili ni mediocre then unajisifia?

Hatusifii highest level of performance,professionalism na mystery,tunasifia jitu kua pumbavu na unable?

Kisheria tunasamehe katika kuongea pekee yake sio kuandika,else,its unacceptable!

Yaani tupo hapa watu wazima tunaotaka siku moja Kiswahili kiwe lingua franca ya hii dunia halafu tunasifia broken Swahili speakers,like really?

Tanzania tutaweza nini?Hadi Kiswahili duniani Kenya ndio inajulikana,why?Ni kwasababu ya watu kama nyie msiotaka kujirekebisha na kuona sio fahari kua mbumbumbu tena wa lugha mnaojidai ni mama.

Jua matumizi sahihi ya "r" na "l" acha upumbavu wa kujitetea ujinga
Sasa mbona wewe ambaye sio 'poor swahili speaker' unachanganya kiswahili na kingereza. Hayo maneno ya kingereza hayana kiswahili?

Kwanini usiandike kiswahili moja kwa moja bila kuchanganya na kingereza.
 
yeye anaulizia kwa uzuri ipi ni nzur sabab yy alikua anatak MD lakin amepat BMLS na architecture so ajui akasome ipi
Kwa maelezo haya ni bora akimbie kabisa idara ya afya coz kisaikolojia atakuja kupata msongo wa mawazo ambao unawakuta vijana wengi waliotaman kusoma MD na kuangukia kivuli cha MD... I mean proffesional nyengine kama nursing,pharmacy au bmls... Hapa nataka niweke msisitizo kidogo... mtu ambaye aliomba MD chaguo la kwanza afu akapata kozi kama nursing ni tofauti kabisa na mtu ambaye aliomba nursing first choice... Athari zake ni kubwa coz... vyuo vingi vinawachanganya first year wa MD,Pharmacy,bmls na Nursing darasa moja katika usomaji... coz kama anatomy,physiology,behaviour science n.k wote wanasoma... hii itampelekea kujihisi unyonge na kumfanya ashindwe kufurahia masomo yake!... Kwangu mimi aende tu UDSM... akimbie kabisa kivuli cha MD... NB:Miaka ya hivi karibuni vijana wengi wanapata msongo wa mawazo kuchagua kati ya PCB au PCM... na kesi kama hii ya MD imekuwa tatizo jipya la sababu za sononi kwa vijana wa vyuo vyetu!
 
Akasome Medical lab, hatajuta.

Ni nzuri. Kwanza akimaliza Miaka mitatu, anaenda Intern mwaka mmoja (atalipwa 80% ya Mshahara wa muajiriwa wa hiyo level serikalini kwa kila mwezi mwaka mzima)

Hapo atakuwa amejipanga, na mtaji,Connections...Ajira pia zipo.
In short hawezi lala njaa.

Atafurahi.
Hiyo ilikuwa kipind cha jakaya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa maelezo haya ni bora akimbie kabisa idara ya afya coz kisaikolojia atakuja kupata msongo wa mawazo ambao unawakuta vijana wengi waliotaman kusoma MD na kuangukia kivuli cha MD... I mean proffesional nyengine kama nursing,pharmacy au bmls... Hapa nataka niweke msisitizo kidogo... mtu ambaye aliomba MD chaguo la kwanza afu akapata kozi kama nursing ni tofauti kabisa na mtu ambaye aliomba nursing first choice... Athari zake ni kubwa coz... vyuo vingi vinawachanganya first year wa MD,Pharmacy,bmls na Nursing darasa moja katika usomaji... coz kama anatomy,physiology,behaviour science n.k wote wanasoma... hii itampelekea kujihisi unyonge na kumfanya ashindwe kufurahia masomo yake!... Kwangu mimi aende tu UDSM... akimbie kabisa kivuli cha MD... NB:Miaka ya hivi karibuni vijana wengi wanapata msongo wa mawazo kuchagua kati ya PCB au PCM... na kesi kama hii ya MD imekuwa tatizo jipya la sababu za sononi kwa vijana wa vyuo vyetu!
Ni bora aende BMLS kuliko Archtecture
 
Tanzanians bana

Eti "ushauli"

Halafu bwege kama hili likimuona Mkenya au taifa lingine akiongea Kiswahili eti "hujui" Kiswahili and blah blah

Kumbe jinga halijui tofauti ya "r" na "l"

Tujivunie Kiswahili halafu ndio tuongea huu uozo?

Mtu akiongea Kingereza bwege kama hili linatanua midomo eti sisi sio Waingereza tuongee Kiswahili tu,na Kiswahili chenyewe halijui.

Sijui nini tunawezaga Watanzania,kila kitu hadi Kiswahili tunafeli
"tunawezaga"

Hapo nawe umekosea.

Ila tunajua kuwa hakuna aliye kamilika, na tukubali kukosoana pale mmoja miongoni mwetu anapokosea.
 
Pale ukweli unapochoma sawa sawa,kauli za kukata tamaa na laana ndio kama hizi

Hakuna kitu kinaitwa "ushauli",still unarudia rudia upumbavu

ndio maana ubongo wako ni wa hovyo unashindwa ku make your own decisions mpaka uletee wenye ubongo kuomba msaada wa kufikiria na kufanya decisions

Yaani huna ubongo kiasi cha kukutosha kuendesha maisha yako na kufanya maamuzi muhimu kwa ajili ya maisha yako mpaka uje kuomba "ushauli" humu?

Inaonesha ubongo wako ni kweli ni wa hovyo,haukutoshi wewe mwenyewe mpaka tena uje kuomba bongo za wengine zijazie

Kwa aina yako ya ubongo hutakaa uweze kujua tofauti ya "r" na "l"....never!
Shauri kama una cha kushauri mkuu, wacha ujuaji.
 
Habari zenu ndugu yangu amechaguliwa kusom bachelor of Medical Lab Muhimbil na Bachelor of Architecture UDSM kwa upeo wenu ni wapi dogo aende kwa mstakabal mzuri wa maisha yake ya mbelen
Kwanini unamsingizia ndugu yako?

Mwambie akasome architecture maana iko vizuri kwenye ajira na kujiajiri.

NB: Huu ujinga wa kusingizia ndugu sijui utaisha lini..
 
mimi kama kaka yako nakushauri nenda kasome bsc in medical laboratory..maana tunajua ajira ni ngumu ndio ila kidogo vijihospitali ni kila siku vinafunguliwa mitaani , serikalini, sijaona watu wa lab wakikaa sana mitaani dogo, ila archtecture mdogo wangu ndio wapo wanaopata ila kuna msoto flani maana maakmpuni ya ajira kama hizo yanafunguliwa na ni machache kwa hiyo mtu mmoja anaweza kuajiriwa kwenye kampuni hat amoaka astaafu ,
pili lab ni miaka mitatu kama sikosei ikiingia hapo kuna uwezekano mkubwa wakumaliza fasta na unaweza kwenda kusoma masters ya kueleweka sana ndai ya miaka sita unakuwa na degree mbili watu watajipanga kukuajili upande wapili artchtecture ni maiak m5 sasa umalize uje ukaosme masters sijui na nini itake laot of years

kasome lab mdogo wangu kwa tanzania hapa unaishi kwa kuangalia opportunity kwa upande wa elimu we far away from dreams
Na mimi kama yake namshauri akasome architecture.

Jiulize hili swali..

Tz kuna hospitali ngapi zinazo hitaji hao wataalam wa lab alafu jiulize Tz kuna miradi mingapi ya ujenzi (mikubwa na midogo)?

Architect hawezi kosa pesa hata asipoajiriwa mahali...

Ila huyo lab officer mpaka ajiajiri kuna kazi na ni kama haiwezekani kama ni mtoto wa mkulima!!

Mleta mada kasome architecture..
 
Back
Top Bottom