PintoG
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 612
- 732
Nilipokuwa na miezi sita kwenye ajira yangu ya kwanza tayari nilikuwa na utaratibu wa kusave bank kwa njia ya kukatwa juu kwa juu kiasi flani.
Siku moja nikakutana na aliyekuwa mwalimu wangu chuo. Katika kubadilishana mawazo akaniambia kusave bank kwa njia ile si sahihi kwangu. Akanishauri niingie kwenye vikundi vya hisa na succos.
Kweli nilijiunga na vikundi vitatu tofaut vya hisa, ambavyo kila mwezi nilikuwa nanunua hisa si chini ya 250,00 kwa mwezi lakini pia nikajiunga na saccos ya ofsini nikawa nakwatwa 50,000 kila mwezi.
Kwa muda wa miaka miwili sasa naona matunda makubwa sana mfano kwenye vikundi hisa naweza kopa hela bila masharti magumu, lakini kila mwaka pesa inaongezeka ukilingana na nilipokuwa nasave bank.
Lakini pia vikundi hisa vina faida pale mwanachama anapopata matukio ya kijamii kama misiba, sherehe na ugonjwa. Lakini pia nimejifunza sisi wanaume nidhamu ya kusave pesa kidogo ni ndogo sana, mfano umepata 30,000 nje ya salary, ukiwa na vikundi hisa rshisi sana kutoa 15,000 ukaitupa kweny hisa.
Bank itumike tu kuweka pesa nyingi ikiwa kwenye njia za biashara ama uwekezaji na si kibubu.
Vijana tujiunge kwenye vikundi hisa vinasaidia sana. Na vikundi vizuri ni vile ambavyo vina wanachama wengi wanawake kwani wana nidhamu sana ya pesa na kuheshimu ratiba za vikundi.
Siku moja nikakutana na aliyekuwa mwalimu wangu chuo. Katika kubadilishana mawazo akaniambia kusave bank kwa njia ile si sahihi kwangu. Akanishauri niingie kwenye vikundi vya hisa na succos.
Kweli nilijiunga na vikundi vitatu tofaut vya hisa, ambavyo kila mwezi nilikuwa nanunua hisa si chini ya 250,00 kwa mwezi lakini pia nikajiunga na saccos ya ofsini nikawa nakwatwa 50,000 kila mwezi.
Kwa muda wa miaka miwili sasa naona matunda makubwa sana mfano kwenye vikundi hisa naweza kopa hela bila masharti magumu, lakini kila mwaka pesa inaongezeka ukilingana na nilipokuwa nasave bank.
Lakini pia vikundi hisa vina faida pale mwanachama anapopata matukio ya kijamii kama misiba, sherehe na ugonjwa. Lakini pia nimejifunza sisi wanaume nidhamu ya kusave pesa kidogo ni ndogo sana, mfano umepata 30,000 nje ya salary, ukiwa na vikundi hisa rshisi sana kutoa 15,000 ukaitupa kweny hisa.
Bank itumike tu kuweka pesa nyingi ikiwa kwenye njia za biashara ama uwekezaji na si kibubu.
Vijana tujiunge kwenye vikundi hisa vinasaidia sana. Na vikundi vizuri ni vile ambavyo vina wanachama wengi wanawake kwani wana nidhamu sana ya pesa na kuheshimu ratiba za vikundi.