Achana na Mwanachuo!

Akitoka chuoni anakuwa amechakazwa vibaya sana kwahiyo kwangu sidhani kama ntakuwa na hamu nae
 
Yaan siku iliyofuata asubuhi nikiwa njian narudi home ndo akanitafuta lakini sikupokea simu.
Nilipofka kabisa ndo nikampgia nikamweleza jinsi nilivyojisikia,. Akadai ety simu ilistaki day!
Yani simu ilistack siku nzima? 😅😅😅

Ila mwisho wa siku unaweza kukuta ww ndio uliomba msamaha na Penzi likaendelea
 
Me kwangu ilikuwa tofauti na usemavyo, sikufanya surprise bali tulikubalina lakini ikatokea hivyo na kama angesema nisiende hakika nisingethubut kwenda
 
Wenzako huwa wanatia mimba.. Wewe ulichelewa wapi?
 
Kaka mapenzi umeanza ukubwani!!!NGOJA NIKUPE USHAURI KIDOGO!!ACHANA NA WATOTO ACHANA NA MASISTADU TAFUTA WATU WAZIMA AFU UONE!!!!USIRUDIE TENA KUFUNGA SAFARI KUMFUATA MWANAMKE!!FUNGA SAFARI KUFUATA DILI ZA HELA KAKA
 
Umetisha mkuu
 
Maarifa mapya na mazuri pia lakini me nishaamua kuwa nae mbali mazima
 
Mzee mwanamke asafiri akufate sio ww humfate

Hata kama unampendaje mwanamke, unless ni mkeo yupo mkoa/wilaya tofauti na wewe na anamajukum ila wewe una mda iwe ni likizo or whatever [emoji28]
Sawaa
 
Maarifa mapya na mazuri pia lakini me nishaamua kuwa nae mbali mazima
Nili sitish mwaka mmoja nikaja endelea mpnz wangu akamaliza kabla yangu akala na boom me bado nasota akawa chuo mkoa flani siku hio ikabdi nimwambie kwamba nilikuwa napita tu ila ukweli nilimfata toka nyumbani nikajidaikuna sehemu naenda tulionana dk chache tumekaa sehemu tunakula akanywa maji nadhani akalipa bills hata hatujaongea maana alikuja na mwenzie et akaaga anaenda saloon vile nampenda nilikua willing kumsubiri daaa akanambia nikitoka saloon ntakuwa busy kifupi nilipanda costa kwa ajili ya kwenda lipiwa chakula cha 2500tzs

Fresh maisha yalisonga kumbe alikutana na muhuni mmoja akambandua vizuri na mimba juu kazalishwa akaachwa
 
Naunga mkono hoja, hio ni uongoo bana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…