Achana na Mwanachuo!

Achana na Mwanachuo!

Kaka mapenzi umeanza ukubwani!!!NGOJA NIKUPE USHAURI KIDOGO!!ACHANA NA WATOTO ACHANA NA MASISTADU TAFUTA WATU WAZIMA AFU UONE!!!!USIRUDIE TENA KUFUNGA SAFARI KUMFUATA MWANAMKE!!FUNGA SAFARI KUFUATA DILI ZA HELA KAKA
Hakunaga formula mzee, hata hao watu wazima bado wanakitembeza na zaidi ni hakika wako na msururu wa ex's
 
Mkiwa mikoani mnadiss wanaume wa Dar. Mkija Dar mnakimbiwa, wachumba wamenogewa kupiga blow jobs ndingani.
Na hivyo vitoto vinavyokuja kusaka degrees vyuo vya Dsm vinagongwa kwa kupelekwa swimming tu ya 10k, dinner na kawine ka elfu 5.

Ugeni wa mji mbaya.
 
Hamjambo wanajamii..!
Niende moja kwa moja kwenye mkasa huu,
Niliingia kwenye uhusiano na binti aliyemaliza elimu ya kidato cha sita. Tulipendana sana na nilijitahidi kughalamia kila kilicho ndani ya uwezo wangu. Pia yeye alijitoa haswaa kila nilipohitaji msaada wake wa hasa kwenye swala mbususu alinitunuku kila nikihitaji.

Alipoanza mchakato wa chuo kwakweli nilishiriki kumsaidia kufanya maombi na ushauri pia bila kusahau vihela vya bando na stationery. Kwa vile nilipitia chuo na nna kadigrii basi akawa ananiamini na kufuata kile nnachomshauri na nilikuwa najua nini anatakiwa kufanya.

Majibu yakatoka amechaguliwa chuo kilichopo DSM na sisi hapo tuko mikoa ya kaskazini, alifurahia sana japo me sikuwa na furaha nikihofia kumpoteza. Aliniahidi kuwa hatobadilika hata akifika huko. Maandalizi yakafanyika, nakumbuka siku moja kabla ya kuondoka kwenda Dar tulilala pamoja usiku mzima unaju ile kuagana. Alionesha kusikitika kuwa atanimiss sana dah!

Alipofika Dar es salaam kwa siku za mwanzo aliendelea kuntafuta na tukitumia muda mwingi sana kuongea au kuchati, lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda akawa hapatikani sana akidai anabanwa na kazi za chuo. Nikamwambia basi tuweke ratiba ya kuwasiliana yaani kama asubuhi kabla hujaingia class au mchana ukiwa mapumziko na jioni/usiku anitafute akitulia. Akafata hizo ratiba siku mbili then akapotea na kazi ikawa ile ile, mara amepitiwa na usingizi, mara kazi zilikuwa nyingi ameshndwa kujibu meseji wala kupokea.

Matukio hayo yote yalitokea ndani ya mwezi mmoja tuu, nikaona isiwe shida basi Mimi niende huko labda nikiwa nae kwa siku hata mbili anaweza kurudi kwenye imaya yangu. Nikamweleza mpango wangu wa kwenda kuonana nae, akasema sawa atafurahi kukutana tena na mi mpenzi wake. Nikaulizia ratiba zake kama zitaruhusu kutumia muda wa kutosha na Mimi akajibu "hamn shida na siwez kosa muda".

Me nikajipanga mzee kwa kiasi cha pesa nnachojua kitantosha kwa siku nitakzokuwa huko. Kwa kuwa nafanya kazi na sikutaka kuomba ruhusa kazini ikanibidi niondoke ijumaa baada ya saa za kazi ili jmosi na jpili niwe na mtoto. Basi jioni saa kumi nikatafuta usafiri kwa bahati nikapata Noha lakini ilitoka saa 12 jioni. Tulisafiri usiku mzima lakini yeye nikamwambia nitatoka kesho yake ambayo ni jmosi, sikutaka ajue kuwa nasafiri usiku na hakika hiyo ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusafiri mbali kufuata mapenzi. Kwa hilo nijiona shujaa kwa vile niliona naonesha mapenzi ya dhati na kupapalia penzi pia.

Nilifka Dar saa 11 alfajiri nikiwa nimechoka hoi na usingizi kama wote, hivyo nakawaza sehemu ya kupumzka kwanza. Nikafanikiwa kupata sehemu ya kupumzka (lodge), nilaoga alafu nikalala lakini wakati huo nishamcheki yule binti kuwa nimepata gari ndogo (private) hivyo nitawahi kufika Dar. Akajibu " sawa me nitakuwa nakusubiri wewe ukifika nijulishe".
Ilipofika mida ya saa sita nikamwambia nimekaribia kufika na kufikia saa 8 nitakuwa mjini. Akasema "haina shida utanambia ulipofikia nije". Sasa wakati namwambia hivyo nikamchombeza kuwa " si umejiandaa kabisa kulala na mimi ?", akajibu "tutaangalia". Hapo nikaanza kupata mashaka kuwa hasingeweza kulala.

Ilipofika ili mida nikamwambia nilipo, akasema anakuja maana alishatoka kwenye kipindi. Basi kweli alipokaribia nikamfuata na kuongozana nae hadi pale lodge. Basi ile kufika ndani nikashangaa kuona yuko busy na simu wakati alikuwa ananambia anashindwa kuongea na mimi sababu anabanwa na majukumu ya chuo. Nikajaribu kumwambia aachane na simu na aone uwepo wangu lakini bado kila dakika meseji zinaingia tuu, kama sio kawada basi za Watsapp.

Ikabidi niichukue simu ili niweke mezani lakini akawa anazuia kushika simu take. Nikaanza kumtomasa ili nile nilichokisafiria, akadai anasumbuliwa na maumivu ya kichwa. Nikaona sasa nishaingia mtumbwi wa vibwengo[emoji26][emoji26], roho inaniuma mtu niliyemsafiria umbali wote lakini haoneshi kujali. Ikabidi nianze risala ya kumuweka sawa huku nashika kagauni kake kafupi alichovaa. Mwishowe nikafanikiwa kuvua pichu na nikaweka mkuyenge lakini hajavua like gauni. Nikashughulikaa mpaka wazungu walipokuja ndo kumuacha kwanza.

Nikaanza kumuuliza kama angeweza kulala akadai hawezi kulala na visababu kibao. Basi nijionea wazi kuwa hayuko na mimi kabisaa [emoji1785][emoji1785][emoji1785]. Niliumia lakini mwisho nikamruhusu aondoke na kumsindikza hadi kituo cha daladala, nikampa nauli na kuagana nae kwa ahadi angenitafuta tena kesho yake ambayo ni jpili. Nikarudi zangu lodge nikiwa na mawazo hasa kilichotokea siamini na nitalalaje peke yangu usiku huo. Kulikuwa na manzi nachati nae FB siku nyingi nikamwambia siku nikija Dar ntakutafuta, kwahiyo nilipoona dalili ya kuwa huyu ninayemjia halali nikaanza kumpanga yule wa FB na hatimaye alikuja mida saa 4 usiku na ndiye nikalala nae hadi asubuhi. Nilifarijika kiasi maana usiku haukuwa mbaya.

Ilipofika asubuhi huyu wa FB nikaagana nae akasepa. Yule mwanachuo akanitafuta eti kunisalimia, nikamuuliza angekuja saa ngapi, akajibu "sina uhakika lakini nitakujulisha". Ilifika mida ya lunch nikala na kujaribu kumtafuta mwanachuo hapatikani hewani[emoji1787][emoji1787]. Basi kwa vile sikuwa nimelipia hiko chumba ikabidi nipange namna ya kusafiri kurudi home.

Niliondoka saa kumi kwenda Mbezi kutafuta gari za kaskazini, nikafanikiwa kupata gari nikaanza tena safari ya usiku kurudi home. Njia nzima nilikuwa nasikiliza wimbo wa " Beka Fleva- poa poa" hadi leo nikiusikia huo wimbo nakumbuka tukio hilo.

Wanachuo mungu awaongoze kwa matendo yao!
Una kiherehere sana unamsaidia mwanamke .umekipata ulichokua unakitafuta
 
Anaoa mke wa mtu au mke wa watu yaan chuo wanapigwa sana miti hawa watoto wanatombeka vibaya, wengine wanafungishana ndoa zisizo na vyeti huko wanaishi room moja km mke na mume na wengine hadi wanazalishana uko wanaanza kulea na watoto kabisa yaan anasoma na ananyonyesha, usimuliwe tu yanayoendelea huko
Hahah mkuu hiyo line ni noma joh haha!!!

Vyombo vinasuguliwa hatari bado havijaja kusuguliwa kwenye bench la kutafuta ajira pa kujishikiza yaani mpaka vije kukutana na msamaria mwema kama mleta mada asiyejua background yake unakuta vimekuwa kama dekio la mortuary.
 
Nilifikiri nikimkazia atalala maana hakusema " halali" bali alisema tutaangalia kwahiyo nikajipa moyo
Si unaona sasa hata alipofika kuvua nguo tu ili upige alianza mzozo kubana na vitu kama hivyo akihofia labda angerudi ghetto kwa msela wake jamaa angeweza mshtukia akampima oil akakutana na sprem odor ikawa balaa?

Hata hako kabao kako kamoja ulikopiga upo uwezekano alipofika tu hostel sijui chumbani aliwahi kopo la maji kwenda chooni ku-flush ili asijulikane na msela,yaani mkuu wewe uligeuka mchepuko hiyo hofu aliyokuwa nayo.
 
Nili sitish mwaka mmoja nikaja endelea mpnz wangu akamaliza kabla yangu akala na boom me bado nasota akawa chuo mkoa flani siku hio ikabdi nimwambie kwamba nilikuwa napita tu ila ukweli nilimfata toka nyumbani nikajidaikuna sehemu naenda tulionana dk chache tumekaa sehemu tunakula akanywa maji nadhani akalipa bills hata hatujaongea maana alikuja na mwenzie et akaaga anaenda saloon vile nampenda nilikua willing kumsubiri daaa akanambia nikitoka saloon ntakuwa busy kifupi nilipanda costa kwa ajili ya kwenda lipiwa chakula cha 2500tzs

Fresh maisha yalisonga kumbe alikutana na muhuni mmoja akambandua vizuri na mimba juu kazalishwa akaachwa
[emoji1787][emoji1787]
 
Hahahah kwa wanachuo ni kawaida hio tabia wako nayo. Lazma apate boya wa kumchachua na kumformat akili kiingia chuo tu. Unajua chuo kuna aina flani ya maisha ambayo yanawachanganya sana wadada hata awe mjanja kiasi gani.

Ukifika wakati unaagana na demu wako anaenda chuo kama hampo mkoa mmoja ni muda muafaka wa kuweka mashada juu ya kaburi la penzi lenu. Atakudanganya atajitunza kwa ajili yako hio ni uwongooo... Uwongoo hio 🤣🤣🤣! Cha kufanya tafta sub tu mapema.
Ila bro Mbona munamtia moyo blaza na kumkandia demu wake wakati blaza mwenyewe ni wembe? Mi naona kama hilo game Lao ni ngoma droo tu, isipokuwa demu wake alichelewa kuanza kutupia magoli so aliposawazisha kuwa player kama jamaa ndo sasa blaza analalamika 🤣🤣🤣🤣
 
Ila bro Mbona munamtia moyo blaza na kumkandia demu wake wakati blaza mwenyewe ni wembe? Mi naona kama hilo game Lao ni ngoma droo tu, isipokuwa demu wake alichelewa kuanza kutupia magoli so aliposawazisha kuwa player kama jamaa ndo sasa blaza analalamika 🤣🤣🤣🤣
Demu beki hazikabi. Mwamba nae pasco wawa 😀😀😀 hatari kwenye lango.
 
Back
Top Bottom