Achana na Mwanachuo!

Kaka mapenzi umeanza ukubwani!!!NGOJA NIKUPE USHAURI KIDOGO!!ACHANA NA WATOTO ACHANA NA MASISTADU TAFUTA WATU WAZIMA AFU UONE!!!!USIRUDIE TENA KUFUNGA SAFARI KUMFUATA MWANAMKE!!FUNGA SAFARI KUFUATA DILI ZA HELA KAKA
Hakunaga formula mzee, hata hao watu wazima bado wanakitembeza na zaidi ni hakika wako na msururu wa ex's
 
Mkiwa mikoani mnadiss wanaume wa Dar. Mkija Dar mnakimbiwa, wachumba wamenogewa kupiga blow jobs ndingani.
Na hivyo vitoto vinavyokuja kusaka degrees vyuo vya Dsm vinagongwa kwa kupelekwa swimming tu ya 10k, dinner na kawine ka elfu 5.

Ugeni wa mji mbaya.
 
Una kiherehere sana unamsaidia mwanamke .umekipata ulichokua unakitafuta
 
Hahah mkuu hiyo line ni noma joh haha!!!

Vyombo vinasuguliwa hatari bado havijaja kusuguliwa kwenye bench la kutafuta ajira pa kujishikiza yaani mpaka vije kukutana na msamaria mwema kama mleta mada asiyejua background yake unakuta vimekuwa kama dekio la mortuary.
 
Nilifikiri nikimkazia atalala maana hakusema " halali" bali alisema tutaangalia kwahiyo nikajipa moyo
Si unaona sasa hata alipofika kuvua nguo tu ili upige alianza mzozo kubana na vitu kama hivyo akihofia labda angerudi ghetto kwa msela wake jamaa angeweza mshtukia akampima oil akakutana na sprem odor ikawa balaa?

Hata hako kabao kako kamoja ulikopiga upo uwezekano alipofika tu hostel sijui chumbani aliwahi kopo la maji kwenda chooni ku-flush ili asijulikane na msela,yaani mkuu wewe uligeuka mchepuko hiyo hofu aliyokuwa nayo.
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Ila bro Mbona munamtia moyo blaza na kumkandia demu wake wakati blaza mwenyewe ni wembe? Mi naona kama hilo game Lao ni ngoma droo tu, isipokuwa demu wake alichelewa kuanza kutupia magoli so aliposawazisha kuwa player kama jamaa ndo sasa blaza analalamika 🀣🀣🀣🀣
 
Demu beki hazikabi. Mwamba nae pasco wawa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hatari kwenye lango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…