Achana na Mwanachuo!

Achana na Mwanachuo!

Analiwa na mhadhiri wake

Kuna kadenti Kenzie kavaa mlegezo na kanyoa panki kana mkaza.

Analiwa na yule jibaba mwenye Subaru Forester new model.

Anauza mtandaoni.

Achana na hao viumbe fanya Yako.

Hao ni WA kuwatemea wazungu then unachapa lapa.
Kumbeee....basi kama ndo hivyo inahitajika kuwakwepa kama ukoma
 
Analiwa na mhadhiri wake

Kuna kadenti Kenzie kavaa mlegezo na kanyoa panki kana mkaza.

Analiwa na yule jibaba mwenye Subaru Forester new model.

Anauza mtandaoni.

Achana na hao viumbe fanya Yako.

Hao ni WA kuwatemea wazungu then unachapa lapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mbavu sinaa.
 
Wanaolewa kabisa kwa miaka mitatu au miwili mizima wakiwa vyuoni majamaa yanakula na kupakua chumba kimoja. Kinachokosekana kwenye ndoa hizi za vyuoni ni makaratasi tu. Halafu unakutana naye anakwambia eti mi sijawahi kuolewa. Kumbe alishaolewa ndoa bubu na si ajabu hata mimba kibao alishatoa. Wengi wao walishatumika sana kingono kwa kweli na kutokana na kuumizwa huko baada ya kutemwa ndo maana wengi wao wanaishia kuwa ma feminists uchwara! Ndiyo maana ndoa za wasomi hawa zinaongoza kwa talaka! [emoji706][emoji706]
Mafeminist uchwara nimecheka sana [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitaka nikufate pm nikutongoze nikaogopa utanipiga ndoige na pelesu pelesu, kama sio ngumi mchomoko, ndo maana nikikuona nakula Tu kwa macho sahivi 😅 Depal
Mkuu usimsemee, wewe nenda mambo ya pelesu pelesu mwachie yeye😂😂😂
 
Mkiwa mikoani mnadiss wanaume wa Dar. Mkija Dar mnakimbiwa, wachumba wamenogewa kupiga blow jobs ndingani.
Na hivyo vitoto vinavyokuja kusaka degrees vyuo vya Dsm vinagongwa kwa kupelekwa swimming tu ya 10k, dinner na kawine ka elfu 5.

Ugeni wa mji mbaya.
Hahahh mkuu ndo unawasagia kunguni kabisa.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Yaan siku iliyofuata asubuhi nikiwa njian narudi home ndo akanitafuta lakini sikupokea simu.
Nilipofka kabisa ndo nikampgia nikamweleza jinsi nilivyojisikia,. Akadai ety simu ilistaki day!
[emoji16][emoji4][emoji4][emoji16]
 
Mkitoka mikoani msiwafate hostel kuwafumania mtaishia kuitiwa mwizi unapoteza maisha ishatokea hii binti wa chuo kumuitia ex wake wake alipojichanganya kumsuprise akakuta yupo chini ya kifua cha mwanachuo mwenzake, jamaa akapigwa akafa. Mtu akishaenda chuo achana nae msubirie likizo akija. KILA eneo lina mmiliki wake.
Sawa ila sitoi hata mia mbovu ya matumizi atapambana na hali yake
 
Back
Top Bottom