Achana na tetesi: Lil Ommy, go and get 'em, bro!


Lill Ommy nani alikwambia kuna tetesi? Mbona wajitungia?
 
Lill Ommy nani alikwambia kuna tetesi? Mbona wajitungia?
umeelewa kilichoandikwa lakini..?, nani katunga..?, kilichosemwa humo ni kuwa watu waachane na tetesi za kuwa amesajiliwa na wasafi na wasubiri muda utazungumza,
next time ukisoma uwe unafika mpaka mwisho
 
sheria huwa miaka3, ila mbona Efm Wenyewe baada ya miaka2 tu wakaanza kwenda mikoani,na Times wanamiaka mingi sana ila wanasikika mikoa miwili tu...?
 
Mfano mwepesi tu, hujiulizi kwa nini TV za kisasa zimewekewa "Internet" capability? Yani ni TV tu ila pamoja na function za kawaida za TV imepewa na uwezo wa wewe kuwa connected na mtandao na unaweza ku stream na kuperuzi kwenye social medias. Hili halijaja kwa bahati mbaya ila ni kwa kuwa dunia ndiko ilikofikia kwa sasa.
 
Dunia inaenda kasi sana, ukibaki nyuma na usipoenda na kasi nayo ni shidaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…