A milion 90😁😁Mpaka ifike hap andaa milioni 90.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A milion 90😁😁Mpaka ifike hap andaa milioni 90.
Inacheza kati ya 1000 hadi 1400 ccMbona hujaweka size ya injini. Hii inanusa au inapuliza mafuta. IST inanusa ndio maana tunaipenda wese kidogo trip kibao.
We nae acha ushamba. Zama hizi za mtandao unauliza spare parts?Spea zinapatikana wapi?
Ile gari kwenye mafuta ni ya kipare kabisa aiseee.1,390cc ndio injini yake mafuta inanusa Tu zaidi ya IST huku kukiwa na mifumo ya umeme ya kijanja kabisa
Manina hadi nimedinda. Hii gari imeshanipa nyege kumanina.Hebu tuchukue Audi A1 ambayo ina engine ya 1.4L Turbo halafu direct injection(FSI). Inaproduce 122HP tofauti na IST ambayo inaproduce 104HP with 1.5L.
Highway inakupa around 23Km/L wakati mjini inakupa around 16Km/L
Na kwa kuongezea tu Audi ya 1.4L inakuja na gearbox ya 7 speed S-tronic(Hii ni Direct shift gearbox),
Hizo dsg zimefungwa kwenye hatchback na sedan nyingi sana za mzungu tena performance cars kuanzia M sport kwenye bmw, AMG kwenye mercedes, R, RS kwenye audi na R, R-line kwenye VW
Sasa mwenye IST akikukuta barabarani anawaweza akahisi wewe ni mwenzake akataka akutunishie misuli kwamba anaweza ligi.... Weeeee atapasua block hivihivi anajiona.
Zinakufanye bila kuuliwa.Nimekuwa nikisikia mafundi kadhaa wakiwaasa watu wasinunue Audi sababu zinakufa sana gearbox, kuna ukweli?
Kuna gari haihitaji Service hii dunia?Uchawi Wa Kampuni Za Magharibi Kwa Tanzania Ni Service (Maintainance & Spare parts)