ACHANA NAO
______________
Nilimtembelea rafiki yangu Mlengule nyumbani kwake, Mke wake akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama kibao!
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejaa wali na kachumbari tu.
Baada ya kula nikamuliza Mlengule; _"Kulikoni watoto wale wali na kachumbari wakati sisi tumekula minyama kibao?!"_
Akajibu kwa kujiamini kabisa; _"Achana nao hao wapumbavu wanajifanya hawali mbwa!"_
🤣🤣😆😆😁😁😂😂
______________
Nilimtembelea rafiki yangu Mlengule nyumbani kwake, Mke wake akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama kibao!
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejaa wali na kachumbari tu.
Baada ya kula nikamuliza Mlengule; _"Kulikoni watoto wale wali na kachumbari wakati sisi tumekula minyama kibao?!"_
Akajibu kwa kujiamini kabisa; _"Achana nao hao wapumbavu wanajifanya hawali mbwa!"_
🤣🤣😆😆😁😁😂😂