samua
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 1,029
- 708
Mahitaji
Ukwaju 2 paketi
Chumvi kiasi
Tende 1/4 kikombe
Pilipili mbichi 1
Namna ya kutayarisha
Toa kokwa ukwaju kisha roweka na maji moto.
Chambua tende utoe kokwa weka kando.
Tia vitu vyote katika mashine saga hadi vitu visagike.
Mimina katika bakuli tayari kwa kuliwa.
Note:
Ikiwa huna tende unaweza kutumia sukari vijiko 2.
Inaweza kuliwa na vyakula vingi kama wali pilau kachori n.k.
Ukwaju 2 paketi
Chumvi kiasi
Tende 1/4 kikombe
Pilipili mbichi 1
Namna ya kutayarisha
Toa kokwa ukwaju kisha roweka na maji moto.
Chambua tende utoe kokwa weka kando.
Tia vitu vyote katika mashine saga hadi vitu visagike.
Mimina katika bakuli tayari kwa kuliwa.
Note:
Ikiwa huna tende unaweza kutumia sukari vijiko 2.
Inaweza kuliwa na vyakula vingi kama wali pilau kachori n.k.