GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Uteuzi wa Kisiasa hauna formula, Albert Msando kinachofuata ni kupigwa chini.Natembea sana na ukiniuliza leo hii kuwa tokea Fatma Nyangasa ateuliwe kuwa DC Kigamboni kuna kipi cha maana alichofanya jibu langu la haraka nitakujibu hakuna.
Ila ukiniuliza leo hii tokea Albert Msando ateuliwe kuwa DC Morogoro na kafanya nini huko ( ukizingatia GENTAMYCINE ) nilikuwa huko kwa Miezi Miwili tu nitakuja na Mambo mengi na yenye Tija hasa Kimaendeleo ameyafanya huko.
OMBI
Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?
Nalijua hilo na hata Yeye analijua pia.Uteuzi wa Kisiasa hauna formula, Albert Msando kinachofuata ni kupigwa chini.
Mkeka wa ma DC unakujaPitia upya huo mkeka sio Fatma nyangasa wa kgmbn. Ila tuu kukuunga hoja mkono huyu Dada nyangasa hakuna analolifanya huku kigmbn asee
Msoma Habari wa Leo Radio One Saa 1 Kamili Asubuhi hii aniombe Radhi upesi kwani ameniingiza Chaka na Katuingiza Chaka Wasikilizaji wao ( wake ) kwa Kumtaja DC wa Kigamboni Fatma Nyangasa.Pitia upya huo mkeka sio Fatma nyangasa wa kgmbn. Ila tuu kukuunga hoja mkono huyu Dada nyangasa hakuna analolifanya huku kigmbn asee
kawe kaingia chaka. Kushoto kulia, kulia kushotoNi fatma nyasa,sio huyo unayemzungumzia wa kigamboni
Nimeshalitolea Ufafanuzi hapo juu na Kuomba Radhi hivyo tujikite katika Hoja ya Msingi ya kwanini Albert Msando DC wa Morogoro aliyefanya na anayefanya vyema hapo Mkoani Morogoro hajawa 'Promoted' na Mteuwaji Mkuu wa Tanzania?kawe kaingia chaka. Kushoto kulia, kulia kushoto
Msoma Habari wa Leo Radio One Saa 1 Kamili Asubuhi hii aniombe Radhi upesi kwani ameniingiza Chaka na Katuingiza Chaka Wasikilizaji wao ( wake ) kwa Kumtaja DC wa Kigamboni Fatma Nyangasa.Ni fatma nyasa,sio huyo unayemzungumzia wa kigamboni
Mama Kakasirika.Mkeka wa ma DC unakuja
Mzee ni Fatma Mwasa alishawahi kuwa Rc Tabora mzee magu akala kichwa.Natembea sana na ukiniuliza leo hii kuwa tokea Fatma Nyangasa ateuliwe kuwa DC Kigamboni kuna kipi cha maana alichofanya jibu langu la haraka nitakujibu hakuna.
Ila ukiniuliza leo hii tokea Albert Msando ateuliwe kuwa DC Morogoro na kafanya nini huko ( ukizingatia GENTAMYCINE ) nilikuwa huko kwa Miezi Miwili tu nitakuja na Mambo mengi na yenye Tija hasa Kimaendeleo ameyafanya huko.
OMBI
Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?
Dah aisee wanamtoa uyu mwamba Morogoro aisee wangempa basi mkoa pamojana zile kashfa zake za wanawake kabla hajapewa madaraka nilijua atakuja kuboronga Tu apa Moro Ila alilofanya ni zaidi ya viongozi wengi niliyo wahi kuwaona wakipita apa kajitolea snaa Kuwainua watu WA chini hasa wale wamachinga WA barabarani kawajengea vibanda tena vizuri vya kueleweka hakwenda kuwadampo kama viongozi wengine walivyo fanyaNatembea sana na ukiniuliza leo hii kuwa tokea Fatma Nyangasa ateuliwe kuwa DC Kigamboni kuna kipi cha maana alichofanya jibu langu la haraka nitakujibu hakuna.
Ila ukiniuliza leo hii tokea Albert Msando ateuliwe kuwa DC Morogoro na kafanya nini huko ( ukizingatia GENTAMYCINE ) nilikuwa huko kwa Miezi Miwili tu nitakuja na Mambo mengi na yenye Tija hasa Kimaendeleo ameyafanya huko.
OMBI
Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?
Genta kama umemind hapa, tunakwambia hii nchi sio mpya. DC alifanya zaidi mambo ya kutafuta kick akasahau utawala wa kick ulishapita. Albert alifurahia kupunguza 10% ya mikopo na kupigia debe wauza nyanya kutengenezewa mall badala ya masoko simple na kuwapa mitaji zaidi wajasiriamali. Wengine performance zao si za kwenye mitandao dont undermine kuendekeza ushkaji.Natembea sana na ukiniuliza leo hii kuwa tokea Fatma Nyangasa ateuliwe kuwa DC Kigamboni kuna kipi cha maana alichofanya jibu langu la haraka nitakujibu hakuna.
Ila ukiniuliza leo hii tokea Albert Msando ateuliwe kuwa DC Morogoro na kafanya nini huko ( ukizingatia GENTAMYCINE ) nilikuwa huko kwa Miezi Miwili tu nitakuja na Mambo mengi na yenye Tija hasa Kimaendeleo ameyafanya huko.
OMBI
Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?