Acheni 'Double Standards' utampelekaje Fatma Nyangasa Morogoro badala ya 'Kumpromoti' Albert Msando ambaye kafanya Makubwa huko?

Acheni 'Double Standards' utampelekaje Fatma Nyangasa Morogoro badala ya 'Kumpromoti' Albert Msando ambaye kafanya Makubwa huko?

Tofautisha.

Fatma Almas Nyangassa.

Fatma Mwasa.

Umechanganya hayo majina.
 
Msoma Habari wa Leo Radio One Saa 1 Kamili Asubuhi hii aniombe Radhi upesi kwani ameniingiza Chaka na Katuingiza Chaka Wasikilizaji wao ( wake ) kwa Kumtaja DC wa Kigamboni Fatma Nyangasa.

Naomba Radhi kwa Kukosea hili Jina kwa Kuingizwa Chaka na Msoma Taarifa ya Habari huyo wa Radio One Leo Asubuhi.

Hata hivyo Hoja yangu ya Msingi GENTAMYCINE iko pale pale kuwa kwanini Albert Msando DC wa Morogoro pamoja na Kufanya huko makubwa hajawa 'Promoted' na Mteuwaji Mkuu wa Tanzania?
Huwezi kufungua jarada jipya juu ya kësi nyingne uliyoileta. Futa kësi ya kwanza halafu Leta jarada Lako upya
 
Dah aisee wanamtoa uyu mwamba Morogoro aisee wangempa basi mkoa pamojana zile kashfa zake za wanawake kabla hajapewa madaraka nilijua atakuja kuboronga Tu apa Moro Ila alilofanya ni zaidi ya viongozi wengi niliyo wahi kuwaona wakipita apa kajitolea snaa Kuwainua watu WA chini hasa wale wamachinga WA barabarani kawajengea vibanda tena vizuri vya kueleweka hakwenda kuwadampo kama viongozi wengine walivyo fanya
Kwani kuna Mkeka mpya wa DC's Mkuu umetoka hivi punde baada ya ule wa RC's?
 
Kuzielewa siasa za bongo, unahitaji kujitoa akili kidogo, ili uende sawa na akili zao za mwezi mchanga.
 
Msoma Habari wa Leo Radio One Saa 1 Kamili Asubuhi hii aniombe Radhi upesi kwani ameniingiza Chaka na Katuingiza Chaka Wasikilizaji wao ( wake ) kwa Kumtaja DC wa Kigamboni Fatma Nyangasa.

Naomba Radhi kwa Kukosea hili Jina kwa Kuingizwa Chaka na Msoma Taarifa ya Habari huyo wa Radio One Leo Asubuhi.

Hata hivyo Hoja yangu ya Msingi GENTAMYCINE iko pale pale kuwa kwanini Albert Msando DC wa Morogoro pamoja na Kufanya huko makubwa hajawa 'Promoted' na Mteuwaji Mkuu wa Tanzania?
Promoshoni haitegemei akili.
Nani alitegemea Mwigulu kushika finance docket? Si wangemtafutia hata wizara ya starehe na wasichana waigizaji.
Of all the dockets 'finance and planning'???
 
Natembea sana na ukiniuliza leo hii kuwa tokea Fatma Nyangasa ateuliwe kuwa DC Kigamboni kuna kipi cha maana alichofanya jibu langu la haraka nitakujibu hakuna.

Ila ukiniuliza leo hii tokea Albert Msando ateuliwe kuwa DC Morogoro na kafanya nini huko ( ukizingatia GENTAMYCINE ) nilikuwa huko kwa Miezi Miwili tu nitakuja na Mambo mengi na yenye Tija hasa Kimaendeleo ameyafanya huko.

OMBI

Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?
Unayemzungumzia wewe na aliyeteuliwa ni watu wawili tofauti
 
Huyu sijui mumewe anamuhudumia muda gani, kutwa anaanzisha nyuzi humu ndani.
 
Unakaa mtu mzima na akili zako eti unajadili mkuu wa wilaya au mkoa kafanya maendeleo gani. Mtu asiye na bajeti yoyote ya kuisimamia anafanya nini zaidi ya kuimba mapambio na kusaidi chama kuiba uchaguzi? Hopeless
Point
 
OMBI

Siku zingine mkiwa mnatuteulia Watu ( Watendaji ) Wenu huko Serikalini jitahidini muwe mnatuambia kuwa huyu ni Shosti Wangu ( Shoga yangu ) wa Siku nyingi na hawa Wengine nipo nao tu nawabakisha ila siwapendi ili Watanzania Wachache wenye Akili tuwe tunawaelewa sawa?
hapo kuiambiw Serikali wakwambie huyu ni Shosti wangu huoni unamkosea Kiongozi wetu, kwani usirudi kwenu Banyamulenge akagufue limzuka lako linaliwa na funza? Shida mlifikiri mtajipsnga milele, hii Nchi ya wenyewe
 
Back
Top Bottom