Acheni 'Double Standards' utampelekaje Fatma Nyangasa Morogoro badala ya 'Kumpromoti' Albert Msando ambaye kafanya Makubwa huko?

Tofautisha.

Fatma Almas Nyangassa.

Fatma Mwasa.

Umechanganya hayo majina.
 
Huwezi kufungua jarada jipya juu ya kësi nyingne uliyoileta. Futa kësi ya kwanza halafu Leta jarada Lako upya
 
Kwani kuna Mkeka mpya wa DC's Mkuu umetoka hivi punde baada ya ule wa RC's?
 
Kuzielewa siasa za bongo, unahitaji kujitoa akili kidogo, ili uende sawa na akili zao za mwezi mchanga.
 
Promoshoni haitegemei akili.
Nani alitegemea Mwigulu kushika finance docket? Si wangemtafutia hata wizara ya starehe na wasichana waigizaji.
Of all the dockets 'finance and planning'???
 
Unayemzungumzia wewe na aliyeteuliwa ni watu wawili tofauti
 
Huyu sijui mumewe anamuhudumia muda gani, kutwa anaanzisha nyuzi humu ndani.
 
Unakaa mtu mzima na akili zako eti unajadili mkuu wa wilaya au mkoa kafanya maendeleo gani. Mtu asiye na bajeti yoyote ya kuisimamia anafanya nini zaidi ya kuimba mapambio na kusaidi chama kuiba uchaguzi? Hopeless
Point
 
hapo kuiambiw Serikali wakwambie huyu ni Shosti wangu huoni unamkosea Kiongozi wetu, kwani usirudi kwenu Banyamulenge akagufue limzuka lako linaliwa na funza? Shida mlifikiri mtajipsnga milele, hii Nchi ya wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…