Acheni 'Double Standards' utampelekaje Fatma Nyangasa Morogoro badala ya 'Kumpromoti' Albert Msando ambaye kafanya Makubwa huko?

Mademu wa kibongo mmezidi sasa Eti babe naomba hela ya sensa
 
MKUU

Ukitafakari Sana!!

1.Mteuzi hana muda mrefu kwenye nafasi take hivyo anafanya uteuzi kugawa keki KWA wa karibu yake kabla hajaondoka kitini!coz wale Wenye uwezo wameminywa!!

2.Anafanya spinning KWA matukio yalitokea hivi karibuni na yajayo Ili kuzima kelele na minong'ono fulani hivi!!refer nyongeza ya mishahara!!

3.kitengo kimefanya kumuingiza chaka KWA manufaa ya Taifa!!yaani iwe sawa sawa na pale hayati alipozindua maji ya kunywa ya kiwanda cha jeshi KWA kuambiwa ayanywe huku Mwinyi akasema amefunga!!

4.Amechanganyikiwa Baada ya kuona anaimbwa na walamba asali PEKEE ambao ni wachache Sana na kupondwa Sana na Raia wa kawaida huku mfumuko wa bei imemshinda na hajui afanye nini KWA hiyo anatapatapa kama samaki nchi kavu!!

5.kaamua awapotezee wanaochapa KAZI coz wanamfunika KWA kukubalika wao kuliko mteuzi wa nafasi hizo refer A.Mtaka,kafulila na Huyo msando!!

Endelea kitafakari huku ukiimba moyoni:-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Huyo sio DC wa kigamboni, ni Fatma Mwassa
 
Hivi ni FATMA NYANGASA au ni FATMA ABUBAKARI MWASA??(FATMA MWILIMA) sio umechanganya mkuu
 
Watu wangekuwa wanamjua Msando wala wasingehangaika nae.
 
Ukishakuwa na katiba inayompa rais mamlaka ya uteuzi na utenguzi, bila kuhitaji kutoa sababu yoyote, malalamiko yoyote juu ya uteuzi au utenguzi yanakuwa hayana msingi kisheria.

Kwa sababu rais ana mamlaka ya kuteua na kutengua bila kufuata unachofikiri wewe kuwa ni sawa.

Kama kuna malalamiko ya msingi, basi yawe kwenye dhqna nzima ya rais kuweza kuteua na kutengua bila ya kuingikiwa na chochote.

Hivi vyeo vyote na jinsi watu wanavyovipata, au hata umuhimu wa kuendelea kuwepo kwa hivi vyeo, kunahitaji kufanyiwa marejeo.

Hili linahitaji katiba mpya kuliweka sawa.
 
We bint raisi wako c KAGAME!
 
Inaonekana una chuki binafsi dhidi ya watu fulani, huyo Fatma sio yule DC wa kigamboni bali Fatma aliyeteuliwa ni Fatma Mwasa huyu wakati wa JK aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora akaja kupigwa chini na Magu sasa ameteuliwa tena.
 
We Bibi kizee nenda Rwanda kampangie majukumu hayo Kagame, Mambo ya Nchi nyingine yanakuhsu Nini we mnyarwanda!
 
Inaonekana una chuki binafsi dhidi ya watu fulani, huyo Fatma sio yule DC wa kigamboni bali Fatma aliyeteuliwa ni Fatma Mwasa huyu wakati wa JK aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora akaja kupigwa chini na Magu sasa ameteuliwa tena.
Hajitambui huyo
 
We mwanamke jali ndoa yako.
Kwahiyo ulidhani Mimi ni Mchafu na Mtenda Dhambi hivyo hadi nikubali Kukuingilia Kinyume na Maumbile kama ulivyotaka na unavyoendelea Kutaka?
 
Watoto wa SAUT hao hawajui hata kutofautisha majina ya wahusika... Nyangasa yupi kaenda Moro? Hovyo sana.
 
They don't just pick randomly as you think or others may think, there are criteria to follow before appointing someone to a specific position.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…